Habari zenu wanajf. Hv naomba msaada kama kuna mtu anaweza kunisaidia maujanja jinsi ya kuirudisha laptop iliyoibiwa au hata kumtambua mwizi wangu.. unaweza hata kunipm au kuanika hapa jamvini.
hiyo mzee ni ngumu,unless kama ulikuwa umeinstall tracking software au ume embedd gps chip kwenye motherboard ya laptop au laptop yenyewe ingekuwa iko equipped na tracking technology.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.