BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
Huku mbona huo mnogo mi sijaupataga?
Si uninogeshe na mie, angaa kiduchu! Kiasi cha mboga walau!
unafikiri kuke fesinuku kunanoga? Mnogo uko huku
Huku mbona huo mnogo mi sijaupataga?
Si uninogeshe na mie, angaa kiduchu! Kiasi cha mboga walau!
Nimeshinda hapa tokea juzi nawasubili tuchati mpka nachoka jamani..
unafikiri kuke fesinuku kunanoga? Mnogo uko huku
Kina nani hao!?
Sasa ulipochoka ndo ukaamua ukimbie kabisa?
Haya, tizekuja wandee na waghosi,
nena kingine.
subilini au subirini..? kiswahilli - F
Ndo walia ? Ama wacheka ? habari ndiyo hiyo!
La msingi tuanze mazoezi ya ule wimbo wa parapanda!
Sawa!
Na ndiyo maana nimekuomba un'nogeshe na mie!
Mi panaponogesha sijapanukuu!
Hembu nianzishie minogo w/out mimung'unyo!
afrodenzi niko poa ..mbona umenikimbia kule skype?hutokeagi kabisaSaint Ivuga..
Was up Bro??