Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
- Thread starter
- #141
nikiingiaga jf somtime huwa nashindwa hata kumaliza kazi zangu. Mfano jana kuna jamaa alikuwa analinganisha dhahabu na mkonge,alinitoa povu,ckupata hata kumalizia kazi zangu nilizozianza.
leo umemaliza?