Nawakumbusha wanaJF, Russia alipeleka Jeshi kumlinda Nicolas Maduro ila Marekani kashindwa kumlinda Rais wa Ukraine

Mmarekani anachoangalia ni adhari kwa kwake na kwa dunia, uwezo wa kumpiga mrusi anao tena wakutosha tu, tatizo lipo baada ya kumpiga matokeo yake ndio yanayoogopesha.

Mungu azidi kuwaongoza kwa busara na hekima kwani ata wahenga walisema ni bora nusu shari kuliko shari kamili.
Hivi wewe unajua kazi ya siraha za nyuklia ,uwezi kumpiga mrusi bila ya kupigana vita vya nuclear, ni lazima marekani itateketea tu
 
Marekani sio kama anaogopa kuingia Venezuela ila anahofia vita karibu na mipaka yake itakuja kupiganwa ndani ya nchi yake kitu ambacho ni mbaya sana, miji ya New York na California na miji mengine itaingia hasara sana, Venezuela hana cha kupoteza, Marekani atapigana mbali na mipaka yake huko karibu hatii mguu
Ndiyo kuogopa kwenyewe huko
 
Vita ya Kwanza ya Dunia na ya Pili, Russia na washirika wake dhidi ya Marekani na washirika wake walipigana.

Kwani kwenye history hukuambiwa?
Hizo vita zote pamoja na kwamba usa alishiriki tu vita ya pili ila yeye na Russia walikua allies,hawajawahi kuwa pande tofauti kwenye vita yoyote ya dunia.hawa watu wana agenda zao za siri,ndiyo maana namshangaa sana mchina anavyomshobokea Russia,anashindwa kuelewa hawa watu na wamarekani wote ni wazungu na wana interest sawa tu.
 
Aise jamaa yuko sahihi kabisa tena usibishane naye, Urusi na Marekani zimepakana.

Chukua ile ramani ya tufe kisha ndio utaona vizuri, angalia Marekani upande wa magharibi na Russia upande wa mashariki ndio utapata jibu.
Huyo boya ana angalia ramani kwenye karatasi kisha anapima umbali ajui kuwa dunia ni mduara
 
Nipime kwa kutumia nini? Kwasababu inavyojulikana ni kwamba Urusi ipo mashariki ya mbali na Marekani ipo magharibi sasa umbali wa mashariki ya mbali na magharibi ni karibu?

Tofauti tu ya masaa ni kubwa mno kati ya Marekani na Urusi halafu niamini eti ni nchi jirani? Kwa maana hiyo New Zealand ambayo nayo ipo mashariki ya mbali tuseme ipo jirani na Marekani?
Wewe boya dunia ni duara mashariki ya mbali na magharibi ya mbali ndiyo ukalibu wenyewe huo , jamaa kakuambia vizuri kuwa tafuta ramani ya tufe hata kwenye simu utajua
 
Mmarekani anachoangalia ni adhari kwa kwake na kwa dunia, uwezo wa kumpiga mrusi anao tena wakutosha tu, tatizo lipo baada ya kumpiga matokeo yake ndio yanayoogopesha.

Mungu azidi kuwaongoza kwa busara na hekima kwani ata wahenga walisema ni bora nusu shari kuliko shari kamili.
Mkuu inaonekana wewe unajua zaidi nguvu ya jeshi la Marekani kuliko hata ajuavyo Colonel Macgregor wa jeshi hilo la Marekani ambaye yeye mnamo December mwaka jana aliwahi onya kuwa Marekani isidhanie Russia ni lelemama, kwamba ikitokea vita Marekani itaiangamiza Russia, dhana hiyo akaiita ni upumbavu!

Bali akaonya (akitabiri) kuwa siku Marekani tukimchalenji Putin (Russia) mlangoni kwake, kwa maana mashariki ya Ukraine, basi Putin atatushinda kivita. Na tukiwa wapumbavu tukajaribu kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Russia baada ya silaha zetu za kawaida (conventional weapons) kushindwa, basi dunia hii itaangamizwa mara moja na Putin.

Tizama video hii sekunde ya 40 hadi dkk 1:20
 
Kwahiyo mashariki na magharibi ni jirani?

Vipi kuhusu tofauti kubwa ya masaa iliyopo kati ya Urusi na Marekani?

Zingekuwa jirani maana yake zote zingekuwa aidha magharibi ama mashariki.

Yaani unataka kunambia Dar es Salaam iliyopo mashariki mwa nchi ipo karibu na Kigoma iliyopo magharibi mwa nchi?
Ndiyo mashariki ya mbali ni jirani ya magharibi ya mbali ,tumia akili chukua hata ramani ya dunia kwenye karatasi kisha angalia utaona marekani inaonekana kushoto kabisa na urusi kulia kabisa mwa hiyo ramani kisha ikunje hiyo karatasi kuwa kama pipa kisha analia utagundua mashariki ya mbali inapakana na maghari ya mbali
 
Urusi na China ni majirani na zote zipo mashariki ya mbali,Marekani yupo magharibi je,mashariki na magharibi ni jirani?

Vipi kuhusu tofauti kubwa ya masaa kati ya Urusi na Marekani? Sasa zingekuwa jirani hiyo tofauti ya masaa tu ingekuwa kubwa kiasi hicho?

Urusi wanaanza kuiona siku mpya mapema then Marekani wanasubiri zaidi ya 10 hrs plus kuiona siku hiyo hiyo bado unataka niamini ni nchi jirani?
Hivi nyinyi wajinga amjui kuwa dunia ni duara au ni ujinga upo vichwani mwenu tumewaambia katafuteni ramani ya tufe la dunia ili muelewe tunacho sema
 
Urusi na China ni majirani na zote zipo mashariki ya mbali,Marekani yupo magharibi je,mashariki na magharibi ni jirani?

Vipi kuhusu tofauti kubwa ya masaa kati ya Urusi na Marekani? Sasa zingekuwa jirani hiyo tofauti ya masaa tu ingekuwa kubwa kiasi hicho?

Urusi wanaanza kuiona siku mpya mapema then Marekani wanasubiri zaidi ya 10 hrs plus kuiona siku hiyo hiyo bado unataka niamini ni nchi jirani?
Ko ndugu yangu hujui kabisa kuwa dunia ni mzunguko, au we ni moja ya flat earthers
 
Mkuu inaonekana wewe unajua zaidi nguvu ya jeshi la Marekani kuliko hata ajuavyo Colonel Macgregor wa jeshi hilo la Marekani ambaye yeye mnamo December mwaka jana aliwahi onya kuwa Marekani isidhanie Russia ni lelemama, kwamba ikitokea vita Marekani itaiangamiza Russia, dhana hiyo akaiita ni upumbavu!

Bali akaonya (akitabiri) kuwa siku Marekani tukimchalenji Putin (Russia) mlangoni kwake, kwa maana mashariki ya Ukraine, basi Putin atatushinda kivita. Na tukiwa wapumbavu tukajaribu kutumia silaha za nyuklia dhidi ya Russia baada ya silaha zetu za kawaida (conventional weapons) kushindwa, basi dunia hii itaangamizwa mara moja na Putin.

Tizama video hii sekunde ya 40 hadi dkk 1:20

Soma tena nilichoandika alafu linganisha na hayo maneno uliyo yakoleza wino.
 
Marekani sio kama anaogopa kuingia Venezuela ila anahofia vita karibu na mipaka yake itakuja kupiganwa ndani ya nchi yake kitu ambacho ni mbaya sana, miji ya New York na California na miji mengine itaingia hasara sana, Venezuela hana cha kupoteza, Marekani atapigana mbali na mipaka yake huko karibu hatii mguu

Mkuu Unajua Maana Ya Kuogopa?
 
Unajua umbali kutoka Marekani hadi Urusi ni zaidi ya kilometres 8,800? Umbali wa kilometres hizo bado ni nchi jirani?

Umbali kutoka Tanzania hadi China ni zaidi ya kilometres 8,500 kwa maana kutoka Tanzania hadi China ni karibu kuliko kutoka Urusi hadi Marekani.

Safari ya masaa 9 angani kwa ndege yenye speed kubwa kutoka Marekani hadi Urusi bado unaona ni nchi jirani?

Dar kwenda Amsterdam Uholanzi ni zaidi ya masaa 9 angani sawa na umbali kutoka Marekani hadi Urusi. Kwa maana hiyo Tanzania na Uholanzi ni nchi jirani?



Hivi Wewe Wakati Wenzio Tunasoma Ramani Secondary wewe ulikuwa Wapi? umeanza na Tofauti ya Masaa Sahizi Uko na Km.

Mbona Rwanda Tupo nao karibu sana Lakini Masaa Tunatofautiana?

Ukiangalia umbali wa RUSSIA to USA at The Closest point ni Kama 4 Km, na Ukiwa unapima umbali wa Kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwenye Ramani at First unaangalia THE CLOSEST POINT then Later utaangalia unataka kwenda wapi.

mind You hapa Hatujadiri Umbali wa Kutoka Moscow Kwenda NYC, Tunaangalia Ukaribu wa USA to RUSSIA at the closest point

Unaifahami Bering Straight?

Hizo Island unazo zisema zipo mbili katikati Wakati ile kubwa (Big Diomede) ipo Russia, na ile ndogo ipo United States

Achana na Kuangalia Umbali wa Ndege sijui nini?

Umetoa Mfano wa Tanzania na China. Mfano Mtu anatoka China Anataka Kwenda Sumbawanga Katavi , umbali atakao pewa kwa Ndege Ni Kufika Dar Kwanza lakini Atakuwa na Km Ngapi za Kwenda Katavi?
IMG_0078.jpg

IMG_0077.jpg
 
Ramani naijua vema tangu darasa la 4 na huu uongo wao kwamba dunia ni kama tufe sijui mviringo.

Tafuta kwenye vyanzo vyako vya kuaminika uone umbali halisi kati ya miji ya New York Marekani hadi Moscow Urusi ni kilometres ngapi?
Acha ujinga wewe, yani mbishi sana af hujui kitu
 
US alishaambiwa akiijaribu Urusi basi Alaska itakuwa bahari(kama kumbukumbu ziko sawa).
Na ikumbukwe Alaska ilinunuliwa toka USSR
Nikitakaga kucheka huwa nakuja kusoma hizi nyuzi za maswala ya kivita,nakutana na 'wabobezi wa maswala ya kivita" lakini wakiwa kimanzichana huko hata ku pull triger ya 38mm hawajui ☺️
 
Ukrane kalivunja daraja lake , hakuna tena warusia kuingia ukrane na waliopo watarudi russia wakiwa maiti.
Kazi ndio inaanza.
Uvunje daraja kwamba Urusi asipite?

Wewe utakua bado uko kwenye tube.

Wale Wana madaraja mobile.

Na unazungumzia watashindwa kutoka na kurudi maiti,aisee wale Wana ndege zinabeba askari 1000 na vifaa vyao.
 
Na wewe unaongea nini?
Unaifahamu US military budget ni sh ngp? Na huyo Mrusi bajeti yke ni sh ngp?
Mtu ka invest 770 billions US dollars uje umlinganishe na Mrusi ambae bajeti yake imezidiwa na mchina
Wewe bado sana kujua mambo world contemporary issues, unadhani kwenye vita wanaenda kufungua ma benki ya kutunza pesa, Afaghanistan uchumi wake ni gdp $25bn uchumi wa US ni $2.4 trn, ila US kashindwa kutawala Afaghanistan......

Toa hapa mambo ya kijueni wewe unaangalia uchumi tu bila kuangalia bohari ya kijeshi ya Russian kuna kiasi gani cha silaha na tangu cold War ieshe katumia kiasi gani kabakiza kiasi gani.
 
Unajua umbali kutoka Marekani hadi Urusi ni zaidi ya kilometres 8,800? Umbali wa kilometres hizo bado ni nchi jirani?

Umbali kutoka Tanzania hadi China ni zaidi ya kilometres 8,500 kwa maana kutoka Tanzania hadi China ni karibu kuliko kutoka Urusi hadi Marekani.

Safari ya masaa 9 angani kwa ndege yenye speed kubwa kutoka Marekani hadi Urusi bado unaona ni nchi jirani?

Dar kwenda Amsterdam Uholanzi ni zaidi ya masaa 9 angani sawa na umbali kutoka Marekani hadi Urusi. Kwa maana hiyo Tanzania na Uholanzi ni nchi jirani?
Nimeasha wee unatazam ramani Kama raamani tafuta tufe Hilo ndio litakupa majibu yake mm mwenye baada ya kuona hamuelewani nilizam Google kucheki kumbe Ni sahii Ni mataifa jirani kbsa Yale Alaska ndio iandhibitisha hilo
 
Back
Top Bottom