BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Kwa wale wapenzi wa business forum hawa jamaa ni walimu wazuri sana. Siku zote huwa wanasoma thread na kutoa ushauri accordingly. Haka kama haulewi kitu Voice or Reason na Babalao watakuelewesha taratibu na mpaka utaelewa.
Binafsi nashukuru and I am giving you big ups.
Binafsi nashukuru and I am giving you big ups.