Mi niko interestedi zaidi na kujua kifaa anachotumia bwana Tolu kutoboa kondomu. Sindano? Pini au Mwiba?
Hey, Preta; Mix with your!!aaaaaah wamezidi........Heeeh dada huogopi kuwaita MAFATAKI? hawa ni vigogo wa JF,watakugeuzia kibao? hawachelewi.......lakini mimi nilishawasamehe,hawajui walitendalo.
au naenda na yangu....basii
Unajua kuna njia rahisi sana ya kufanya condom ipasuke, kwanza ivae uhakikishe chuchu imejaa hewa, then anza kwa kasi kama ya Portugal! utaona matokeo yake! (kujilipua)Hichi kifaa unakuwa amekificha wapi?? na akikosea kulenga akajichoma??
Unajua kuna njia rahisi sana ya kufanya condom ipasuke, kwanza ivae uhakikishe chuchu imejaa hewa, then anza kwa kasi kama ya Portugal! utaona matokeo yake! (kujilipua)
Unajua kuna njia rahisi sana ya kufanya condom ipasuke, kwanza ivae uhakikishe chuchu imejaa hewa, then anza kwa kasi kama ya Portugal! utaona matokeo yake! (kujilipua)
Chric wewe ulioa na bikira?...mie wangu alikuwa hana so tukakutana wote hatuna.
Chric wewe ulioa na bikira?...mie wangu alikuwa hana so tukakutana wote hatuna.
Chric wewe ulioa na bikira?...mie wangu alikuwa hana so tukakutana wote hatuna.
Unajua kuna njia rahisi sana ya kufanya condom ipasuke, kwanza ivae uhakikishe chuchu imejaa hewa, then anza kwa kasi kama ya Portugal! utaona matokeo yake! (kujilipua)
Naomba kuelimishwa hapa kidogo,ulijuaje dadaangu kwamba shemeji hana.
kwasababu tulishafanya kabla ya kuoana....
unafikiri uwa zinatobolewa wakati wa kuvaa ni wakati ule umeshapoteza mawasiliano au kipindi ameshavaa anakupiga katerero mwenyewe umefumba macho ndio pale anatoboa mbona zipo hizo demu ngumu sana kujua labda ukute flava za ngozi kwa ngozi zimezidi mbona wengine uwa wanavua kabisa na demu hagunduihivi mpaka mwanaume anatoboa kondom wewe unakuwa wapi?....mie nilikuwaga makini kupita maelezo, kwanza lazima nikuvalishe mwenyewe, hutaki vaa kakaptula kako utulie.
sasa mkuu kwa vile umesema hata maana ya bikra hujui ni nini, yaani nimekuelewa sana.mimi nilioa nikiwa tayari na mauzoefu ya mechi live za mchangani (hata kama kale kabinti kaliniuzia mtoto, dunia inajua, akiwemo mumewe, kuwa nilishawahi kukamega)....ila waifu sijui kama alikuwa bikira au laa! Mi wala hata sijui bikira maana yake nini.
Mbona hujagonga sasa?sasa mkuu kwa vile umesema hata maana ya bikra hujui ni nini, yaani nimekuelewa sana.
Dada Remy habari za masiku? Ulipotelea wapi tena?Tall asante kwa mada nzuri..Najua wanaume wengi hapa watapinga sana na kujifanya ooh ulijuaje kama kina Chrispin walivyouliza kwa kuwa wao huwa wanafanya hivyo..Nimewahi kusikia habari hii mkaka mmoja alisema bila aibu kwamba yeye huwa anatoba kondomu kwa kuwa anataka apate ladha kamili.Cha kushangaza huyo jamaa anadai na mkewe huwa wanatumia kondomu kama njia ya family planning lakini nje ya ndoa marafuku kutumia kondomu ikibidi hivyo basi huwa anatoboa..Iko kazi!
sasa mkuu kwa vile umesema hata maana ya bikra hujui ni nini, yaani nimekuelewa sana.