Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
mmoja tu ndio anatakiwa kuvaa kondomu wakivaa wawili possibility ya kupasuka inakuwa kubwa sana mpira kwa mpira na ladha inashuka mnooo
Bila shaka utakuwa unaongea haya kutokana na mauzoefu yako ya enzi za mwalimu,wewe kiboko.