picha inaonekana labda kwako tu ndo kuna matatizoMama Beto mbona picha haionekani?
Bora umeona hiyo lolHivi ni JF au ni members ndio wanakosea na kuweka thread za matangazo ya biashara kwenye forum ya masuala ya Kazi/Tender?
Habarini ndugu zangu, nina gari aina ya Nissan safari, naiuza kwa bei poa kabisa inahitaji matengenezo kidogo katika body na engine mashine
yaani kwenye hizo mbili bora ungeandika body engine akutane nayo barabarani...aisee nextym usinunue kabisa hizo aina za magari ni kimeo kama sio cancer..ugonjwa wake ukianza kutibika labda NDODI..
All the best ungemalizia linatembea ama lah
Hivi ni JF au ni members ndio wanakosea na kuweka thread za matangazo ya biashara kwenye forum ya masuala ya Kazi/Tender?
Mama Beto-majina yote yakubali, ukiishaingia hapa tegemea kila jina, ushauri wangu kama isingekuwa madeni,ungeiuza kama scaraper ungepata pesa nyingi zaidi,waite usikie watakupa ngapi.jamani ni mama Beto sio Peto. haya nitaongeza picha na hiyo engene mnayotaka, mnasema imechoka shauri ya bei? mnataka vya bei mbaya ee. nina madeni mwenzenu.