AshaDii,
Mkuu nakusikia sana lakini kwa nini ZZK afikirie hawezi kuchaguliwa?..Ina maana anajua fika kajenga maadui ndani ya chama laa sivyo kila mmoja wa anayo nafasi yake. Mbona Dr.Slaa hakutaka kabisa kugombea Urais na alipendekezwa mbele ya kina Mbowe?..tena Chama kilichelewa sana kumtangaza mgombea kiasi kwamba watu walianza kuingiwa wasiwasi. Na zaidi ya hapo walitaka kuungana nguvu na CUF wakachomoa tena kwa mara ya nyingine lengo likiwa ni kuutafuta ushindi kwa wananchi sio nani atakuwa ama atagombea Urais na haki yake yeye.
Na hata Dr.Slaa alipopendekezwa bado kuna wananchi kibao walilalamika kuona Dr.Slaa analiacha jimbo lake la Karatu wazi hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kupoteza hata jimbo hilo. ZZK alifanya nini? alikuwa hajui atagombea jimbo gani mpaka dakika ile mara tunasikia Kinondoni mara kama vile kachanganyikiwa. akatuweka roho juu watu kwa muda kabla hajarudi Kigoma, unakumbuka!..
Kwa hiyo, mkuu wangu ZZK kutangaza azma hiyo ana lake jambo na kama nilivyosema sisi wengine tumejaribu sana kumtetea ktk maswala mengi tu lakini imefika mahala tunachoka maana haiwezekani iwe ZZK tu kila siku ndiye awe chanzo. Binafsi yangu najua fika ya kwamba CDM hawezi kumshinda CCM kirahisi..Na sidhani kama Dr.Slaa anaweza kutuletea ushindi isipokuwa CHAMA ndicho kinatakiwa kuweka maandalizi ya ushindi ktk ushindani ujao..Nimewadokeza ktk waraka wangu japokuwa nimezua Mtafaruku mkubwa kwa washabiki wake ambao wanaamini tutashinda tu kwa vyovyote vile..
Kwa hiyo namsoma sana ZZK anapotokea, na pengine niseme Hivi Kina Kobello wanadhani nimelala usingizi kumbe nayajua mengi kuliko wanavyodhania na ushauri wangu unatokana na kutazama pande zote maana ZZK, Dr.Slaa na Mbowe wote hawa sii kitu ikiwa CDM itayumba..Umaarufu wa muda unaweza kuwa kilio chao kesho. CDM ndio mpango mzima na ili chama kiwe makini ni lazima utokane na uongozi bora..
Moja kubwa ambalo ningependa kulisema leo ni kwamba CDM isome alama za wakati, miaka mitatu haiko mbali sana na chama kinatakiwa kujiandaa mapema kwa uchaguzi wa mwaka 2015. Kuna makosa makubwa yanafanyika hadi leo ktk maandalizi. CCM wameanza uchaguzi wao na karibu wanapaliza hivyo watajipanga kuelekea 2015, CDM wao bado wanajikweza mavyeo badala ya kuitisha uchaguzi haraka iwezekanavyo na kktk maandalizi. Jamani hata World cup ipo mwaka 2014 maandalizi tayari yameshaanza.. Kuna sababu ama haja gani CDM ya mtu mmoja kubeba vyeo vitatu hadi vinne kiasi kwamba wanashindwa hata kukabiri mambo mengine muhimu wakati vijana wengine wapo?...Kw amwendo huu ndio maana watu kama ZZK wanaonekana wao ndio CDM wao ndio wabora zaidi wenye kufaa kugombea Urais maana ukitazama meza kubwa ndio wao tu kila mahala...CDM Jipangeni mapema kuelekea 2015..
- Nasubiri Makombora ya wasojua maana...
Mkuu nakusikia sana lakini kwa nini ZZK afikirie hawezi kuchaguliwa?..Ina maana anajua fika kajenga maadui ndani ya chama laa sivyo kila mmoja wa anayo nafasi yake. Mbona Dr.Slaa hakutaka kabisa kugombea Urais na alipendekezwa mbele ya kina Mbowe?..tena Chama kilichelewa sana kumtangaza mgombea kiasi kwamba watu walianza kuingiwa wasiwasi. Na zaidi ya hapo walitaka kuungana nguvu na CUF wakachomoa tena kwa mara ya nyingine lengo likiwa ni kuutafuta ushindi kwa wananchi sio nani atakuwa ama atagombea Urais na haki yake yeye.
Na hata Dr.Slaa alipopendekezwa bado kuna wananchi kibao walilalamika kuona Dr.Slaa analiacha jimbo lake la Karatu wazi hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kupoteza hata jimbo hilo. ZZK alifanya nini? alikuwa hajui atagombea jimbo gani mpaka dakika ile mara tunasikia Kinondoni mara kama vile kachanganyikiwa. akatuweka roho juu watu kwa muda kabla hajarudi Kigoma, unakumbuka!..
Kwa hiyo, mkuu wangu ZZK kutangaza azma hiyo ana lake jambo na kama nilivyosema sisi wengine tumejaribu sana kumtetea ktk maswala mengi tu lakini imefika mahala tunachoka maana haiwezekani iwe ZZK tu kila siku ndiye awe chanzo. Binafsi yangu najua fika ya kwamba CDM hawezi kumshinda CCM kirahisi..Na sidhani kama Dr.Slaa anaweza kutuletea ushindi isipokuwa CHAMA ndicho kinatakiwa kuweka maandalizi ya ushindi ktk ushindani ujao..Nimewadokeza ktk waraka wangu japokuwa nimezua Mtafaruku mkubwa kwa washabiki wake ambao wanaamini tutashinda tu kwa vyovyote vile..
Kwa hiyo namsoma sana ZZK anapotokea, na pengine niseme Hivi Kina Kobello wanadhani nimelala usingizi kumbe nayajua mengi kuliko wanavyodhania na ushauri wangu unatokana na kutazama pande zote maana ZZK, Dr.Slaa na Mbowe wote hawa sii kitu ikiwa CDM itayumba..Umaarufu wa muda unaweza kuwa kilio chao kesho. CDM ndio mpango mzima na ili chama kiwe makini ni lazima utokane na uongozi bora..
Moja kubwa ambalo ningependa kulisema leo ni kwamba CDM isome alama za wakati, miaka mitatu haiko mbali sana na chama kinatakiwa kujiandaa mapema kwa uchaguzi wa mwaka 2015. Kuna makosa makubwa yanafanyika hadi leo ktk maandalizi. CCM wameanza uchaguzi wao na karibu wanapaliza hivyo watajipanga kuelekea 2015, CDM wao bado wanajikweza mavyeo badala ya kuitisha uchaguzi haraka iwezekanavyo na kktk maandalizi. Jamani hata World cup ipo mwaka 2014 maandalizi tayari yameshaanza.. Kuna sababu ama haja gani CDM ya mtu mmoja kubeba vyeo vitatu hadi vinne kiasi kwamba wanashindwa hata kukabiri mambo mengine muhimu wakati vijana wengine wapo?...Kw amwendo huu ndio maana watu kama ZZK wanaonekana wao ndio CDM wao ndio wabora zaidi wenye kufaa kugombea Urais maana ukitazama meza kubwa ndio wao tu kila mahala...CDM Jipangeni mapema kuelekea 2015..
- Nasubiri Makombora ya wasojua maana...
Last edited by a moderator: