Bila shaka yaishe.. Utamsifiaje mke wa mwenzako wakati mkeo yupo? Makosa kama haya ndio maana hata yeye kaenguliwa huko CCM....Sasa huo umoja mbona mnaupinga humu? na kama unafikiria ishachukuliwa, basi you ain't seen nothing yet!
Yaani mwana CCM akimuunga mkono Zitto mnaona kuna mushkeli .. dah! yaishe bwana.