Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kwanini umfukuze udiwani/ uanachama mtu aliyepiga kura kwenye uchaguzi wa halmashauri ya jiji/manispaa? Does that make sense to you? Au umfukuze mbunge aliyesema mwenyekiti hafanyi la maana? (Hamad).
Hivi filikunjombe angekuwa CDM si angefukuzwa kwa kutokuwa na imani na PM?
Kwanini basi, hamkumfukuza Zitto kwa kutosusia hotuba ya rais ambaye baadae mmemkubali?
Na mzee mwanakijiji acha kugeneralize swali lako la kichovu, ni vizuri ungespecify characteristics za wabunge na viongozi wa CCM wanaomkubali Zitto...... Young and rebellious unlike the status quo....old, fake, misinformed, unpatriotic, partisan and above all BORING!!!
ukijifunza kuzungumza kama mtu wa kuheshimika utaheshimika. Kama swali ni la kichovu unajaribu kulijibu la nini kama siyo kuthibitisha uchovu wako mwenyewe wa kufikiri?