Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,102
- 8,006
Daaah haya mawazo yanatokana na lishe dunii sana tulizopata utotoni,kukosa uji wa ulezi na maziwa,mayai mayai,fat,wanga,protein ni muhimu sana kwa mtoto wa mwaka 0 mpaka 5.. Mtoto akikosa haya akiwa mkubwa lazima awe na IQ ya kukatisha tamaa yaani chini ya 10....Mungu tuokoe watanzania