Naumwa na mwili unachoka lakini hospitali hawaoni kitu, inaweza kuwa kitu gani?

Tafuta ndugu zako kijijini uende, kaa kwa siku hata 4 ukitembea peku, zima simu, kula chakula safi na ule mlo mmoja kwa siku kati ya saa 7 mchana - 12 jioni, lala chini usitumie kitanda na ulale mapema na kuamka mapema, saidia kazi ndogondogo uwe active.
Unaishi sehemu yenye usasa sana, toka kwa siku kadhaa ukajikonect na dunia.
 
Tafuta ndugu zako kijijini uende, kaa kwa siku hata 4 ukitembea peku, zima simu, kula chakula safi na ule mlo mmoja kwa siku kati ya saa 7 mchana - 12 jioni, lala chini usitumie kitanda na ulale mapema na kuamka mapema, saidia kazi ndogondogo uwe active.
Unaishi sehemu yenye usasa sana, toka kwa siku kadhaa ukajikonect na dunia.
Ushauri mzuri huu
 
Naumwa vibaya sana kama vile nachoka choka ukipimwa huna kitu ila unazìma zima tu sana sana kichwa.

Sina kachanga sina presha ni nini?

Tahadhari naomba watu ambao hawana ushauri wasicoment.

Katika Natural Health Knowledge, ukiona mwili unaumwa tunasema body sides suffering or headaches etc , na labs hazioni tatizo , kwa sababu shida iko kwenye early stage , shida hii iko connect na mind / spirit disorder, kusababisha mfumo wa Ini & Nyongo nishati yake kuwa Yabisi / stasis , hivyo Ini hushindwa kuachilia damu ya kutosha mwilini , Ndio maana shida hiyo hutokea

TIBA (Nature) :
Lazima tushughulikie nishati kwenye mfumo wa Ini & Nyongo / Smooth Liver & Gallbladder system energy stasis and improve circulation

Tukifanya hivyo , tatizo lako litaisha mara moja

Tutakupa dawa kuwezesha hiyo kanuni kisha kuondosha hilo tatizo kabisa

Hospitali utacheza tu makida makida

Kwa magonjwa ya kila aina bila kujali majina , yaani ugonjwa wowote mwanadamu aweza kuwa nao tunatibu ;

Contact: +255757577995
a1e8db8d-bb88-4a80-998f-785c78412ba9.jpg
 
Back
Top Bottom