CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,872
Heheheheeee hawa patakuwa full kuuza na banda letu litakuwa juu sana
yan litakuwa na mvuto kuliko mabanda yote!
Heheheheeee hawa patakuwa full kuuza na banda letu litakuwa juu sana
Dah kama kawa b52 ntakuwa nimejiweka mlangoni kuwapikea wageniyan litakuwa na mvuto kuliko mabanda yote!
Hahahahaaaa ila watakubaliana na hali halisi!
Hujambo mama Bishanga ?
kikao kipi na we acha ufukunyuku! jana Asprin kalala kwa BADILI TABIA, na nimepita kwao bado wanaliendeleza libeneke! ndio mke mkubwa ebo? ss hicho kikao kilikuwa saa ngapi?
kikao kipi na we acha ufukunyuku! jana Asprin kalala kwa BADILI TABIA, na nimepita kwao bado wanaliendeleza libeneke! ndio mke mkubwa ebo? ss hicho kikao kilikuwa saa ngapi?
Umejuaje? Yaani sahihi kabisa!yaani najaribu kupata picha! Mwanakijiji ana-market kitabu chake
Bishanga ana-market ndizi bukoba
erickb5a na Youngmaster wanatoa huduma za it
BAGAH anaitambulisha rasmi bagah event masters,
Asprin anauza picha za mtandaoni, ilhali MziziMkavu na Saint Ivuga wako busy kupiga picha
Kongosho na Mwali wanaitangaza albamu yao ya taarabu
Paw anauza vitabu vya kanuni za JF
ni mtazamo wa jf ikiwa 7 7
Hii picha sijui kwanini haitoki jamani?yaani najaribu kupata picha! Mwanakijiji ana-market kitabu chake
Bishanga ana-market ndizi bukoba
erickb5a na Youngmaster wanatoa huduma za it
BAGAH anaitambulisha rasmi bagah event masters,
Asprin anauza picha za mtandaoni, ilhali MziziMkavu na Saint Ivuga wako busy kupiga picha
Kongosho na Mwali wanaitangaza albamu yao ya taarabu
Paw anauza vitabu vya kanuni za JF
ni mtazamo wa jf ikiwa 7 7
Sawa shemeji yangu kipenzi The secretary nafurahi kusikia hujambo kabisaMie sijambo, mdogo wake Bishanga
Eti Erickb52, hapa The secretary anakuonyesha nini?Sawa shemeji yangu kipenzi The secretary nafurahi kusikia hujambo kabisa
LiverpoolFC mi ntakuwa getini kwa ajili wa kuwapokea wageni wote
Dah tuko wengi sanaHello!
Yaonyesha dhahiri Arusha tupo member wengi,hata nami ntakuwepo!
Msinisahau!