pole mkuu naona umemaindi kucheleweshewa mzigo na siyo aina ya zawadi aliyokupa.....mpige biti cku nyingine pombe anywee ndani kama hawezi kuicontrol
Pole sn mkuu,cku nyingine uwe unadeal na mwanamke na co visichana!hizo ndio faida za kuwa na visichana!ufunguo mpe mama yako akutunzie coz ipo cku utauhitaji mia!
cha ajabu anajifanya ana wivu sana na wewe wakati yeye huko anako shinda na kulewa hakuambii alikuwa na nani. Mia
kwa hiyo mimi ndo aniletee mabaki? mia
bora angeileta mapema nikashinda nayo kuliko kuileta nshakasilika na kununa na mizaha isiyo na maana. huo mda wa kupigishana naye kelele si bora kutafute mwingine mwenye kunijali na kuniliwaza. mia
Mkuu figganigga, umekaa naye chini umemwambia ya kuwa tabia hiyo anayofanya huipendi? Au watuambia tu sisi ili tuwe wafariji wako? Mimi nakushauri ya kuwa vunja ukimya juu ya hili jambo na akiendelea tafuta mwingine atakayekufaa.
NB:
Ila inabidi ufahamu ya kuwa kila mtu ana mapungufu yake!
umeongea point sana "mwanamke" mwenyewe mpango ndo huo. hivi visichana havina ishu. asante sana. umejuaje kama mawazo yangu yapo hivyo? Mia
mzee wa .mia ni yule wajuzijuzi ulietuambia au huyu ni small house..
duu chukua maamuzi magumu mkuu.
hadithi yako inatufundisha nini?Mx
Naamin umejifunza kwa hili,kapotezee hako kasichana jipange kutengeneza maisha na mwanamke,ivo visichana vitakuchuna na kukufungia nafac ya kupata mwanamke,mia.
Baharini unaweza ukapatikana, yeyusha kabisa alafu unywe.
Mia na wewe.....yaani kila siku huishiwi vituko na huyo mpenzi wako!! Au we ndo hujatulia mkuu hadi umemuambukiza na mwenzio?? Mia
Baharini unaweza ukapatikana, yeyusha kabisa alafu unywe.
wazo zuri,ila maisha lazima yendelee
Tubarikiwe sote,mia.asante sana mkuu. Ushauri wako ni wa maana. hivi visichana ni vyakupotezeana mda. wanataka kila jogoo awe wao. Mungu akubariki. Mia