herrypeter1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2009
- 223
- 29
inapofika usiku nawaza kesho kufika,
siuzuniki kimapenzi naangika kwa kutafuta,
napouliza inakuwaje wengine wanapendwa,
sipati jibu zaidi ya watu kucheka,
mh ilianzia pale nilipofika kwenye umri unaofaaa,
leo wengine wanatafuta wengine wanatenda,
wengine mwaka wanasali kutafuta,
pengine utapata kesho ukifika,
Ni toka moyoni wengine wanatafuta,
pengine atufanani ndo maana unashidwa kuelewa,
aya ndo wanaita mapenzi visa tofauti,
ni wangapi wanalia wengine wanajitundika mtini,
................
siuzuniki kimapenzi naangika kwa kutafuta,
napouliza inakuwaje wengine wanapendwa,
sipati jibu zaidi ya watu kucheka,
mh ilianzia pale nilipofika kwenye umri unaofaaa,
leo wengine wanatafuta wengine wanatenda,
wengine mwaka wanasali kutafuta,
pengine utapata kesho ukifika,
Ni toka moyoni wengine wanatafuta,
pengine atufanani ndo maana unashidwa kuelewa,
aya ndo wanaita mapenzi visa tofauti,
ni wangapi wanalia wengine wanajitundika mtini,
................