NATO has become a laughing stock in Africa

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
Nato is a laughing stock and a thing to laughing at here in africa because of russian stance and power mighty in ukraine war.

Many africans hate USA and nato because of two reasons

1. USA invasions in islamic countries which to many were baseless eg killing of sadam and gadafi and syrian war which russia helped syria.

2 many if not all nato states are pro gay unlikely Russia. There fore usa plus nato are no longer respected in africa but Putin stands a heroic figure in most african states.
 
Nato is a laughing stock and a thing to laughing at here in africa because of russian stance and power mighty in ukraine war. Many africans hate USA and nato because of two reasons 1. USA invasions in islamic countries which to many were baseless eg killing of sadam and gadafi and syrian war which russia helped syria. 2 many if not all nato states are pro gay unlikely Russia. There fore usa plus nato are no longer respected in africa but Putin stands a heroic figure in most african states.
Laughing stock? Sawasawa. Kabla sijaanza kucheka nakumbuka
1. Sadam alihukumiwa na mahakama ya Kiiraki, alinyongwa katika kambi la jeshi la Iraki. Je ni kweli sababu ya kumhukumu ilikuwa wajibu wake kwa mauaji ya Dujail mnamo mwaka 1982?

2. Siyo Gaddafi aliuawa na raia zake waliokasirika juu yake baada yeye kuagiza ndegevita lutupa mabomu kwenye nyumba za watu raia?

3. Siyo Syria Urusi ilipigania wananchi wa Syria waliojaribu kumfukuza dikteta Assad, baada ya polisi ya Assad kuua wananchi wengi?

4. Siyo Urusi ni nchi ambako mapenzi ya jinsi moja ni halali? Maana hadi 1993 kulikuwa na §§121.1 ya sheria ya jinai iliyokataa mapenzi ya jinsia moja baina wanaume lakini je si kweli sheria hii ilifutwa tarehe 29 Aprili 1993 ??
 
Afrika tunakataa ushoga. Kwa mpalange mna haki ya kutupiwa kitu kizito kichwani
Nalog off  Z
 
Back
Top Bottom