Mkuu ukitaka ku confirm NIT unafanyaje mbona web yao haina sehemu ya kuingizia codeIpo kak wahi nafasi ni chache
kuna kitu kinaitwa AVN unakifahamu?Sijakuelewa
IPO bana mbna me niliingza nkakonfemuMkuu ukitaka ku confirm NIT unafanyaje mbona web yao haina sehemu ya kuingizia code
mbona ume I revokeNimeanzisha hii hapa chini...nakualika mkuu tupeane support kwenye kipind hik cha usajil na uripotij wa vyuoni
NIT
mkuu Nit washaanza usajili? na je wanafungua tarehe ngapi?STUDENTS ACADEMIC YEAR 2018/2019
Naomba kuwapongeza wale wanafunzi wote mliochaguliwa kujiunga na chuo cha Taifa cha usafirishaji NIT.
Natumia fursa hii kuwakaribisha chuoni; pia kwa ambao hamfahamu location ya chuo kiko Dar Es Salaam-Mabibo
Mwisho kabisa chuo kitakapo anza usajiri rasmi tutaendelea kuwapa Updates
Kama wewe ni mgeni au kuna kitu kinakutatiza usisite kuuliza hapa wadau tupo tutakusaidia.
Nawasilisha!
STUDENTS ACADEMIC YEAR 2018/2019
Naomba kuwapongeza wale wanafunzi wote mliochaguliwa kujiunga na chuo cha Taifa cha usafirishaji NIT.
Natumia fursa hii kuwakaribisha chuoni; pia kwa ambao hamfahamu location ya chuo kiko Dar Es Salaam-Mabibo
Mwisho kabisa chuo kitakapo anza usajiri rasmi tutaendelea kuwapa Updates
Kama wewe ni mgeni au kuna kitu kinakutatiza usisite kuuliza hapa wadau tupo tutakusaidia.
Nawasilisha!
mbona hujanijibu mkuuHello guys
mbona hujanijibu mkuuHello guys
kihakuna chuo kibovu kama NIT chuo kipo loko sana utazani ni centre ya tuition za mchikichini.
mazingira ya chuo sio mazurii pili ni usumbufu watendaji wa pale wanajiskia kinoma hasa yule dada wanamuita sijui Emakulata dada msenge sana.Nataka kuuliza ada ya diploma bei gan
Hilo sikupendi kaka nikwel kbsa sijui hata kwnn wanakuwa na maringo vile then chuo cha taifa alafu kinafnya mambo Hayo hata mm kuna mda nimeongea simu administrator office kapokea mmama bas anaongea kwa kujisikia then kwa hasira kma nimemchukulia mtoto wake wa kike๐๐๐๐๐mazingira ya chuo sio mazurii pili ni usumbufu watendaji wa pale wanajiskia kinoma hasa yule dada wanamuita sijui Emakulata dada msenge sana.