RJ45
JF-Expert Member
- May 20, 2014
- 337
- 113
Naomba nianze kwa kuwapongeza wale wote mliochagua na mkachaguliwa kusoma chuo cha taifa cha usafirishaji NIT. Natumia nafasi hii kuwakaribisha chuoni kwani leo ndio siku ambayo registration inaanza kwa first year.
Kama wewe ni mgeni au kuna kitu kinakutatiza usisite kuuliza hapa wadau wapo watakusaidia.
Nawasilisha!
Kama wewe ni mgeni au kuna kitu kinakutatiza usisite kuuliza hapa wadau wapo watakusaidia.
Nawasilisha!