Mifuko yote: LAPF, PSPF, NSSF, GEPF etc wanakula bata ilhali wanachama ziiiiiiiiii.
Hawa Bima ya afya ni matapeli na wababaishaji wakubwa. Nimeanza kukatwa mshahara toka August Mwaka jana na nikajaza fomu za kujiunga Oktoba lakini mpaka leo sijapata hiyo kadi na huku wanaendelea kunikata mshahara, gharama za matibabu najilipia mwenyewe kwani mwajiri alishasitisha huduma hiyo toka michango ilipoanza kupelekwa NHIF.
Ni moja ya mashirika yanayofatunyonya watanzania. Sitaki hata kulisikia hili shirika!!
Mkuu mi sidhani kama bima ya afya kuna utapeli wowote.
Moja ya mashirika yanayojitahidi kujali wateja ni pamoja na bima ya afya ukizingatia wao wana deal na wagonjwa ambao wengi wao hua wanakua na stress.
Sasa basi kuhusu kitambulisho maybe hujafuatilia sehemu ulipowasilisha form yako ....ILA ushauri ni vyema ukahakikisha form yako inawasilishwa kwenye ofisi zao zilizopo kanda maana sometimes waajiri wetu hua hawapeleki form zetu bima ya afya mapema ndo maana hua vitambulisho vinachelewa.