Bima ya Afya kuna tatizo la kiufundi hasa linapokuja suala la malipo kwa baadhi ya hospitali. Agha Khani hosp (Dar) ilikuwa inatoa huduma nzuri lakini wamesitisha kutoa huduma kwa wagonjwa wanaotumia NHIF. Mikoani ndo wanaangaishwa sana. Ndugu yangu alinyimwa huduma bugando hosp.