natesekea mapenzi

nina mpenz wangu ambae tupo nae kwa muda wa miaka mitatu sasa,cku za hivi karibuni ameanzisha mawasiliasno na mpenz wake wa zamani na nilipogundua nilimwonya na kutafta njia za kuwasiliana na huyo mwanaume na akanambia ni kweli walikua na mawasiliano ila mpenz wangu hakumwambia kama ana mtu tayari,nilimwambia akanielewa,juzi mpenz wangu anakuja rum ananiambia hapendi niwe nawasiliana na mpenz wake na akatyaka tubadil information detail zetu z fb,aandike yupo single na mengine mengi,nimekua mtu wa kuadhirika kimawazo kwani shindwakufany kazi zangu kwa kiwango kikubwa mpaka bosi wangu leo kaniweka kikao kujua tatizo nini,naombeni ushauri wenu wana jamvi juu ya huyu dada,

Watu wengine mnachefua kweli,we ushaona moshi,ushaona cheche bado tu unataka ushauri? Subiri Moto tu.
 
Kumbe ata wanaume hua mnaumia i didnt know that, uyo dada bora akuambie ukweli ujue moja kabisa unaumia mara moja unasahau,japo itakua ngumu, unajikaza kiume
 
Mkuu una roho ya paka aisee. Bado unang'ang'ania tu. Mwishowe atakutoa roho. Mimi nashangaa kwanza watu wanaopenda sana, mimi napenda below 50%.
Mimi najua wapenzi wa zamani huwa hawaachani ila wanasitisha kwa muda tu ila siku wakimisiana wanarudisha majeshi.Anayebisha ajinyonge
 
Nafikiri huyo gf wako Ndio aliachwa na hicho kijeba, kitakua kinamla, achana Naye jamaa atampotezea mda baadae atamtosa then katajileta kwako ukatose Kashenzy haji.


nina mpenz wangu ambae tupo nae kwa muda wa miaka mitatu sasa,cku za hivi karibuni ameanzisha mawasiliasno na mpenz wake wa zamani na nilipogundua nilimwonya na kutafta njia za kuwasiliana na huyo mwanaume na akanambia ni kweli walikua na mawasiliano ila mpenz wangu hakumwambia kama ana mtu tayari,nilimwambia akanielewa,juzi mpenz wangu anakuja rum ananiambia hapendi niwe nawasiliana na mpenz wake na akatyaka tubadil information detail zetu z fb,aandike yupo single na mengine mengi,nimekua mtu wa kuadhirika kimawazo kwani shindwakufany kazi zangu kwa kiwango kikubwa mpaka bosi wangu leo kaniweka kikao kujua tatizo nini,naombeni ushauri wenu wana jamvi juu ya huyu dada,
 
una umri gani ww? miaka 3 longolongo tuuuu hebu mwache ndo utajua wewe hukumfanyia nini
na je wewe binafsi una maamuzi gani?
maana watu kama nyie huwa mnaomba ushauri alafu mkipewa wa ukweli mnaumia....
kama unaona bado unampendavumilia tu ila usije kusingizia kakuua huko mbeleni
 
Huu ushauri mbatata Wa mfumo shoga, mwenzako kakwambia anatesekea mapenzi, maana Yake yupo tayari kuoa. Watu wenye mawazo Kama hayo wake zao wanamegwa na hawakujui.


Kuna mtu kakuuliza hapo mwanzo una mpango gani nae coz km miaka 3 unamtumia tu hakuna dalili ya uchumba wala ndoa,au unayaongelea tu hayana vitendo unatarajia nn!kuwaacha marafiki zao co kigezo,hebu ongea naye na hiyo mipango yenu itekeleze kwa vitendo!miaka 3 ni mingi sn kwa mtu kubadilika bila sababu,tafuta sababu ya tatizo ndio utafute solution hakuna anayependa kumwacha mpnz wake aliyedum naye na kuvumiliana kwa mda mrefu mpaka kuzoeana!
 
Nishatendwa na nawachukia viumbe wa dizaini hiyo balaa., Mkuu niPM namba yake asee., au fb yake nikusaidia kumfunza.
" I mean it"
 
nina mpenz wangu ambae tupo nae kwa muda wa miaka mitatu sasa,cku za hivi karibuni ameanzisha mawasiliasno na mpenz wake wa zamani na nilipogundua nilimwonya na kutafta njia za kuwasiliana na huyo mwanaume na akanambia ni kweli walikua na mawasiliano ila mpenz wangu hakumwambia kama ana mtu tayari,nilimwambia akanielewa,juzi mpenz wangu anakuja rum ananiambia hapendi niwe nawasiliana na mpenz wake na akatyaka tubadil information detail zetu z fb,aandike yupo single na mengine mengi,nimekua mtu wa kuadhirika kimawazo kwani shindwakufany kazi zangu kwa kiwango kikubwa mpaka bosi wangu leo kaniweka kikao kujua tatizo nini,naombeni ushauri wenu wana jamvi juu ya huyu dada,

Kaeni mwongee kuhusu mahusiano, hakuna kisichowrzekana. Yaonyesha mwaanza kuchokana na mazungumzo ya mahaba hutibu hayo yote. Try being romantic.
 
Ndugu yangu chezea mshahara usichezee kazi kiufupi huyo demu hakupendi ata kama mtakaa mtasolve atarudia tu madem watu wa ajabu sana ukiwaendekeza waeza acha kufanya mambo yako ya msingi mwishoe kazini wanakuchoka unafukuzwa afu unakuja kumkosa mwana na maji ya moto.kaka piga chini fastaa chapa lapa mie washantesa sana saiv nachkua takeaway tu uyoo mdogo mdogo maisha yanaenda.
 
if u real love it you will let it go...najua we mwenyewe jibu unalo sema hutaki amin tu
 
miaka yote mitatu mliyokaa pamoja, mlipanga nini baadae? isije ikawa kakuona na wewe ngonjera na mashairi mengi future hakuna, yawezekana wa kale huyo kaja na shairi la ndoa. hebu jaribu kutafakari kwanza kabla hujafukuzwa kazi ilhali mwanamke kakuacha. songa mbele kama hakukua na la maana mbeleni.
 
nina mpenz wangu ambae tupo nae kwa muda wa miaka mitatu sasa,cku za hivi karibuni ameanzisha mawasiliasno na mpenz wake wa zamani na nilipogundua nilimwonya na kutafta njia za kuwasiliana na huyo mwanaume na akanambia ni kweli walikua na mawasiliano ila mpenz wangu hakumwambia kama ana mtu tayari,nilimwambia akanielewa,juzi mpenz wangu anakuja rum ananiambia hapendi niwe nawasiliana na mpenz wake na akatyaka tubadil information detail zetu z fb,aandike yupo single na mengine mengi,nimekua mtu wa kuadhirika kimawazo kwani shindwakufany kazi zangu kwa kiwango kikubwa mpaka bosi wangu leo kaniweka kikao kujua tatizo nini,naombeni ushauri wenu wana jamvi juu ya huyu dada,

Mbona hauendani na jina lako KABURU MDOGO, ninavyoyajua makaburu si yanakuaga makatiri, katiri, na wanawake huwa tunapenda bad boys, ila wewe nikikusoma kwenye hii thread yako unaonekana unalia, lia, kama unataka kuonewa huruma, mapenzi huwa hayaitaji huruma, piga chini huyo mapenzi gani hayo ya masharti, inavyoonyesha hajaachana na huyo jamaa yake, maana kama alishaachana na huyo jamaa basi asingekuwekea masharti ya ww kutokuwasiliana na huyo, pia ameshaona wewe ni mpole, anataka kukukalia, kuna thread humu inasema wanaume wanaokaliwa na wake zao mara nyingi nguvu za kiume huwa zinapotea, shauri yako na wewe kama unataka kupoteza nguvu zako za kiume kwa mtu ambaye anaonekana kabisa hana mapenzi ya kweli na wewe.
 
Back
Top Bottom