King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,638
nina mpenz wangu ambae tupo nae kwa muda wa miaka mitatu sasa,cku za hivi karibuni ameanzisha mawasiliasno na mpenz wake wa zamani na nilipogundua nilimwonya na kutafta njia za kuwasiliana na huyo mwanaume na akanambia ni kweli walikua na mawasiliano ila mpenz wangu hakumwambia kama ana mtu tayari,nilimwambia akanielewa,juzi mpenz wangu anakuja rum ananiambia hapendi niwe nawasiliana na mpenz wake na akatyaka tubadil information detail zetu z fb,aandike yupo single na mengine mengi,nimekua mtu wa kuadhirika kimawazo kwani shindwakufany kazi zangu kwa kiwango kikubwa mpaka bosi wangu leo kaniweka kikao kujua tatizo nini,naombeni ushauri wenu wana jamvi juu ya huyu dada,
Watu wengine mnachefua kweli,we ushaona moshi,ushaona cheche bado tu unataka ushauri? Subiri Moto tu.