Tanzaniaist
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 161
- 156
Jamani wananchi wa Mtera kaeni chonjo mwaka 2015..! kwani mkombozi wenu anakuja..ikiwa sasa hamna mbunge zaidi ya Mburudishaji Mh.Livingstone Lusinde..namfananisha na MR.Bean au Charlie Chaplin kwa hapa Tanzania naweza kumfanananisha na Masanja Mkandamizaji