Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Baada ya kugundua udhaifu wa Lusinde, wanajamii naomba mnipe Somo zaidi kusudi jimbo hili lisiwe la huyu mropokaji. inaonekana Malecela wa USA Hana haja nalo na anataka kupewa zawadi ya ubunge wa EA
Nawakilisha
nina wasiwasi na Id yako...
Mjinga?