Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 266
Napanga kugombea ubunge Jimbo la Mafia. kwa kweli tayari vigogo kadhaa wenye pesa wanahaha kuleta ndugu zao au wao wenyewe kujitosa.
Wapo watu wenye uwezo mkubwa wa kifedha ambao wamepanga kwenda kuifilisi mafia na sio kuleta maendeleo.
wanahaha kila Upande kutaka kusimamisha ndugu zao
Wapo watu wenye uwezo mkubwa wa kifedha ambao wamepanga kwenda kuifilisi mafia na sio kuleta maendeleo.
wanahaha kila Upande kutaka kusimamisha ndugu zao