ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Inalipa sana.ukijua masoko ya jumla siyo kwa misokoto ya jerojero.
mi nilifikiri unataka kuvuta kabisa ili utembee kwa mguu hadi magogoni ukatoe machungu yako yote yaliyoko moyoni mwako.Ndugu zangu naomba ushauri. Hali imekuwa ngumu. Nimeanza kusoma number za kirumi sasa. Natamni nikalime bange. Naomba ushauri. Inalipa?
Itanibidi nifanye ivyo piami nilifikiri unataka kuvuta kabisa ili utembee kwa mguu hadi magogoni ukatoe machungu yako yote yaliyoko moyoni mwako.
Lima mashamba kama 10, bila shaka hapo utaambulia hata matanoNdugu zangu naomba ushauri. Hali imekuwa ngumu. Nimeanza kusoma number za kirumi sasa. Natamni nikalime bange. Naomba ushauri. Inalipa?