Bidhaa gani zenye mzunguko mkubwa naweza kuagiza toka China kwa 10M

May 14, 2022
87
167
Wapendwa nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano,

Naomba msaada wenu ndugu zangu , nimebahatika kuuza kaeneo kangu nikapata 10M. Sasa natamani kuizalisha kupitia bidhaa zinazotoka China.
Naomba mnijuze ni bidhaa gani zinatoka haraka sana ambazo sio za bei kubwa, yaani m Tanzania wa kawaida kabisa anaweza ku afford bila kusubiri tarehe ya mshahara.
Naamini nikiagiza mara mbili nitakuwa nime double mtaji.
Asanteni sana na karibu kwa mawazo🙏
Bidhaa nitaziuza kupitia kafremu kangu na matangazo ya mtandaoni.
 
China wanauza bidhaa mbalimbali zingine unaweza kuzipata k koo ,swali langu je unaitaji ujikite kwenye uzaji wa bidhaa gani,n.k, urembo, mavazi, mashine, phone accessories, car accessories,
 
China wanauza bidhaa mbalimbali zingine unaweza kuzipata k koo ,swali langu je unaitaji ujikite kwenye uzaji wa bidhaa gani,n.k, urembo, mavazi, mashine, phone accessories, car accessories,
Spea za pikipiki vp
 
Back
Top Bottom