hsnaturalfertility
Member
- May 14, 2022
- 87
- 167
Wapendwa nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano,
Naomba msaada wenu ndugu zangu , nimebahatika kuuza kaeneo kangu nikapata 10M. Sasa natamani kuizalisha kupitia bidhaa zinazotoka China.
Naomba mnijuze ni bidhaa gani zinatoka haraka sana ambazo sio za bei kubwa, yaani m Tanzania wa kawaida kabisa anaweza ku afford bila kusubiri tarehe ya mshahara.
Naamini nikiagiza mara mbili nitakuwa nime double mtaji.
Asanteni sana na karibu kwa mawazo🙏
Bidhaa nitaziuza kupitia kafremu kangu na matangazo ya mtandaoni.
Naomba msaada wenu ndugu zangu , nimebahatika kuuza kaeneo kangu nikapata 10M. Sasa natamani kuizalisha kupitia bidhaa zinazotoka China.
Naomba mnijuze ni bidhaa gani zinatoka haraka sana ambazo sio za bei kubwa, yaani m Tanzania wa kawaida kabisa anaweza ku afford bila kusubiri tarehe ya mshahara.
Naamini nikiagiza mara mbili nitakuwa nime double mtaji.
Asanteni sana na karibu kwa mawazo🙏
Bidhaa nitaziuza kupitia kafremu kangu na matangazo ya mtandaoni.