Natamani kujua ushawishi wa kanisa katoliki katika utawala na usalama wa dunia

Nakubaliana na wwe mkuu TB
Labda ndio sababu Wamerikani hawajawah kumchagua Rais mkatoliki ukiacha JF Kenedy alieuwawa na Joh Biden ndie makamu wa rais wa kwanza wa USA mkatoliki,
Pamoja na maelezo yote hayo kanisa hailwezi kuongoza dunia kama ilivyokuwa zamani..sasa ivi dunia imebadilika sana na kanisa limepoteza ushawish kwa jamii kubwa sana ulimwenguni, kwa sasa kuna 11 families which runs the world, hawa wanainfuence kubwa kwenye energy, Food, and Medicine......
Umafia wa kanisa Catholic umezidi kudhibitiwa vilivyo na haya mambo.
mimi binafsi naamini haujapungua.
kipindi cha papa Benedikto..labda kwa kiasi. He was conservative kiasi kwamba alirudisha system ya ibada ya zaman,
baada ya papa Francis kupata wadhifa wa Upapa.. nadhani ushawishi umerudi. kanisa kwa sasa linajitaidi kwenda na dunia,
mfano. Papa francis has nothing against the gays, he anasema as long as ni viumbe vya Mungu hana shida nao, pia karuhusu divorce kwa catholics(for some situations)
wote tunajua kua kanisa katoliki liko totally 100% against hivi vitu.
but all this is now allowed/ kufumbiwa jicho so as to maintain power.
Pia financially catholic church ina assets nyingi kuliko any organisation. ina mashirika ya mafatjer, masista, brudda, monks, ya kusaidia jamii, mashule, vyuo, mahoteli, mabank, research centres. you name it.,,.!!! my take is they are still the most powerful organisation in the world.
Civilisation started with the church. They will always be powerful
 
Nyie watu mmejaa uongo...... hizo elimu zenu mmesomea wapi? au ni hulka ya watZ kuwa wasemaji wa kila jambo..... hakuna mkuu wowote wa shirika lolote anayechaguliwa for life! ulizeni muelimishwe!
na wewe ukisoma utaelewa ivi vitu vipo!!
ata ngoyai alisema Elim Elim Elim.
hakumaanisha ya darasani tuu...... bali na ya dunia.
someni vitabu mjikomboe utumwani
 
hakuna swali hapo

cardnali ni mkuu waapadre wote ktk nchi husika na huchaguliwa miongoni mwa maaskofu,kwahiyo katika nchi ndie mkuu wa kanisa katoliki hapo na ndio mwakilishi wa papa katika nchi husika.

vigezo vya kuchaguliwa vinaambatana na utendaji uliotukuka,uadilifu n.k kwakuwa cardinali huteuliwa na papa baada ya kufanyika uchunguzi wa kutosha juu ya majina yanayoependekezwa,kumbuka rome pia ina watu wa ujasusi waliobobea kabisa,wao ndio finally wanakubali kuwa fulani anafaa baada ya kujiridhisha na uchunguzi.

Totally wrong!!!!

1. Hakuna mkuu wa kanisa katoliki wa nchi. Kuna mkuu wa kanisa katoliki duniani.
Kila askofu ni mkubwa ktk jimbo lake na anawajibika moja kwa moja kwa Baba Mt. Na askofu ndio mkubwa wa mapadre wote ktk jimbo husika. Pengo sio mkuu wa kanisa katoliki Tanzania.
2. Kama unataka kuongelea mkuu wa kanisa katoliki ktk nchi basi ni yule anayechaguliwa kuwa rais wa baraza la maaskofu ktk nchi husika. Na huchaguliwa kati ya wenzake. Mf. Tanzania Rais wa TEC ni Askofu Ngalalekumtwa.
3. Mwakilishi wa Baba Mt katika nchi husika ni Balozi wake.
4.Kardinali kazi yake kubwa ni kumchagua Baba Mt wakati wa uchaguzi na kuwa msaidizi wake karibu. Kuna makardinali wa majimbo kama huyu wetu na wale ambao wanaongoza wizara mbalimbali Vatican(Curia)
 
Fatima ni mji uliopo Ureno, mwaka 1917 watoto wadogo walitokewa na mwanamke mrembo sana, katika matokeo hayo watoto wale walipata ujumbe kuwa Mungu anakasirishwa sana na matendo ya wanadamu, na kutokana na matendo hayo Urusi imeanguka katika dola ya mpinga dini. Lakini kutokana na sala mambo yanaweza kubadilika.

Mmoja wa watoto hao, Lucia alipewa barua ambayo ndani yake ilielezea matokeo yatakayo tokea duniani miaka ijayo, moja lilikuwa kupigwa risasi kwa kiongozi mkuu wa dini, pili ilikuwa dola ya Urusi kumrudia Mungu.
Kwa mawazo haya ina maana Russia kufanya Ukomunisti ndo ilikuwa kupingana na Mungu? Au labda mi ndo sijaelewa?
Kwa maana hiyo Ubepari ndo sera inayompendeza Mungu?
 
Ukitaka kujua mambo ya hizi dini iwe Uislamu au Ukristo basi usiwe muumini wao kuna vingi utajifunza kwa uhuru mkubwa bila kuegemea popote

Hivi ushawahi kujiuliza wakati wa uchaguzi wa Papa ule moshi mweupe unaotoka kwamba amekubalika unatokana na nini ? Hivi kwanini wanao ruhusiwa kumchagua papa ni Makadrinali tu ?
Kama primary goal ni kumtumikia Mungu kwanini hawa Makadrinali wapo wachache sana duniani ? Nadhani hawafiki 300 Afrika ikiwa sijui na watatu
Hivi ni vigezo gani hasa vinatakiwa kuwa Kadrinali ? Unafikiria kwanini viliwekwa hivyo vigezo ili kila padri asifanikiwe kuwa Kadrinali ?
Haya makanisa ya dunia yana muingiliano mkubwa sana na serikali zetu za kidunia kuliko hata lengo lao la awali la kuwaleta wanadamu karibu na Mungu

Vivyo hivyo kwa dini zingine
Tena ukiangalia sana Afrika ndo kuna watu weengi sana wanaenda makanisani kuliko hata huko kwa wazungu lakini utakuta Afrika ndo inao wachache sijui kwa nini? Nawaza tu wakuu sipo katika mabishano ya dini maana huwa siyapendi sana!
 
Nakubaliana na wwe mkuu TB
Labda ndio sababu Wamerikani hawajawah kumchagua Rais mkatoliki ukiacha JF Kenedy alieuwawa na Joh Biden ndie makamu wa rais wa kwanza wa USA mkatoliki,
Pamoja na maelezo yote hayo kanisa hailwezi kuongoza dunia kama ilivyokuwa zamani..sasa ivi dunia imebadilika sana na kanisa limepoteza ushawish kwa jamii kubwa sana ulimwenguni, kwa sasa kuna 11 families which runs the world, hawa wanainfuence kubwa kwenye energy, Food, and Medicine......
Umafia wa kanisa Catholic umezidi kudhibitiwa vilivyo na haya mambo.
Sasa mkuu ukisema hivyo vipi kuhusu Ujerumani ambapo hata chama chao cha siasa kina muundo huo wa kidini?
 
hakuna swali hapo

cardnali ni mkuu waapadre wote ktk nchi husika na huchaguliwa miongoni mwa maaskofu,kwahiyo katika nchi ndie mkuu wa kanisa katoliki hapo na ndio mwakilishi wa papa katika nchi husika.

vigezo vya kuchaguliwa vinaambatana na utendaji uliotukuka,uadilifu n.k kwakuwa cardinali huteuliwa na papa baada ya kufanyika uchunguzi wa kutosha juu ya majina yanayoependekezwa,kumbuka rome pia ina watu wa ujasusi waliobobea kabisa,wao ndio finally wanakubali kuwa fulani anafaa baada ya kujiridhisha na uchunguzi.
Si kila nchi ina kardinali mfano Burundi na Rwanda pia kuna nchi zina makardinali zaidi ya 1 mfano Italy wakati wa uchaguzi wa pope walikuwa na makardinali 28
 
hakuna swali hapo

cardnali ni mkuu waapadre wote ktk nchi husika na huchaguliwa miongoni mwa maaskofu,kwahiyo katika nchi ndie mkuu wa kanisa katoliki hapo na ndio mwakilishi wa papa katika nchi husika.

vigezo vya kuchaguliwa vinaambatana na utendaji uliotukuka,uadilifu n.k kwakuwa cardinali huteuliwa na papa baada ya kufanyika uchunguzi wa kutosha juu ya majina yanayoependekezwa,kumbuka rome pia ina watu wa ujasusi waliobobea kabisa,wao ndio finally wanakubali kuwa fulani anafaa baada ya kujiridhisha na uchunguzi.
Sio kweli kwamba Kardinali ni mkuu wa kanisa ndani ya nchi husika bali ni mwakilishi wa Papa kwa eneo fulani linaweza kuwa hata nchi mbili ama zaidi!!
 
Totally wrong!!!!

1. Hakuna mkuu wa kanisa katoliki wa nchi. Kuna mkuu wa kanisa katoliki duniani.
Kila askofu ni mkubwa ktk jimbo lake na anawajibika moja kwa moja kwa Baba Mt. Na askofu ndio mkubwa wa mapadre wote ktk jimbo husika. Pengo sio mkuu wa kanisa katoliki Tanzania.
2. Kama unataka kuongelea mkuu wa kanisa katoliki ktk nchi basi ni yule anayechaguliwa kuwa rais wa baraza la maaskofu ktk nchi husika. Na huchaguliwa kati ya wenzake. Mf. Tanzania Rais wa TEC ni Askofu Ngalalekumtwa.
3. Mwakilishi wa Baba Mt katika nchi husika ni Balozi wake.
4.Kardinali kazi yake kubwa ni kumchagua Baba Mt wakati wa uchaguzi na kuwa msaidizi wake karibu. Kuna makardinali wa majimbo kama huyu wetu na wale ambao wanaongoza wizara mbalimbali Vatican(Curia)
umemjibu vyema kabisa jamaa labda alikuwa hajui hayo,asante sana mkuu!!
 
Asiyesoma vitabu vya unabii, hawezi elewa haya mambo, kwa kifupi ni kuwa soma kitabu cha daniel 1-5 kisha utamjua mrumi siyo wa mchezo mchezo, anasikitika kupoteza utawala wa dunia kwa sasa ila atahakikisha kuwa anashirikiana vema na serikali za mataifa makubwa ili kutawala tena dunia. Unaweza kujiuliza baada ya serikali ya marekani kuruhusu ndoa za jinsia moja, papa naye ameanza kusapoti kimya kimya uchafu huo, pia baada ya serikali nyingi kuruhusu ndoa za mikataba, papa naye kakubali kulegeza msimamo wa kibiblia kwa kukubali mme na mke kuachana kwa sababu flani flani. Papa ni mpinga Kristo.
Toa ushahidi unaoonsesha papa anasapoti ushoga?
 
uliwahi kusoma unabii au una ujuzi na elimu ya unabii ama umewahi kusoma elimu dunia kuhusu historia ya utawala wa dunia? Kitabu cha daniel kinamuonyesha Mfalme Nebukadneza akiwa ameota ndoto ya SANAMU kubwa yenye mfano wa mtu, sasa nikuulize unajua maana ya sanamu ile kiunabii? Au unajua mahusiano ya kitabu cha daniel na ufunuo(vitabu vya kiunabii). Soma vitabu upate maarifa.
Unabii gani pale ulikuwa unamaanisha??
 
Ukitaka kujua mambo ya hizi dini iwe Uislamu au Ukristo basi usiwe muumini wao kuna vingi utajifunza kwa uhuru mkubwa bila kuegemea popote

Hivi ushawahi kujiuliza wakati wa uchaguzi wa Papa ule moshi mweupe unaotoka kwamba amekubalika unatokana na nini ? Hivi kwanini wanao ruhusiwa kumchagua papa ni Makadrinali tu ?
Kama primary goal ni kumtumikia Mungu kwanini hawa Makadrinali wapo wachache sana duniani ? Nadhani hawafiki 300 Afrika ikiwa sijui na watatu
Hivi ni vigezo gani hasa vinatakiwa kuwa Kadrinali ? Unafikiria kwanini viliwekwa hivyo vigezo ili kila padri asifanikiwe kuwa Kadrinali ?
Haya makanisa ya dunia yana muingiliano mkubwa sana na serikali zetu za kidunia kuliko hata lengo lao la awali la kuwaleta wanadamu karibu na Mungu

Vivyo hivyo kwa dini zingine

Aisee wewe ulitaka kila jimbo liwe na cardinali mkuu?, kwanza kabisa ningependa ujue daraja muhimu katika kanisa ni Upadre ndiyo maana hakuna askofu au kadinali ambaye siyo padri, from upadre unaweza kuwa askofu, cadinali au hata pope. Kwa kazi na majukumu ya kadinali hakuna haja ya kuwa nao wengi kila jimbo ndiyo maana almost kila nchi ina kadinali moja. Utaratibu wa kumchagua pope kufanywa na kadinali tu inatokana na ukweli kwamba pope mara nyingi huwa miongoni mwa makadinali hao na hao wanaofanya uchaguzi wanatakuwa wanamfahamu vzr maana wanakutana kwenye vikao vyao. sasa padri au askofu atamchaguaje mtu ambaye hayuko familiar naye? umpeleke paroko wa Manzese akamchague pope wakati huenda hata hajawahi kuwaona wala kuwasikia hao wanaotakiwa kupigiwa kura?. Idadi ya makadinali kuwa wachache siyo issue maana dunia pia ina nchi chache na baadhi ya hizo nchi hazina ukatoliki kabisa sasa utamchagua shehe awe kardinali?. Nafasi ya kadinali ni moja kwa kila nchi sasa kila padri akiwa kadinali unadhani itakuwa rahisi, basi itabidi nafasi ya upadri utolewe na watu hao hao waitwe makadinali. Hebu jaribu kureason kidogo kwanini sisi kila waziri asiwe rais au kila mbunge kuwa waziri.
 
Aisee wewe ulitaka kila jimbo liwe na cardinali mkuu?, kwanza kabisa ningependa ujue daraja muhimu katika kanisa ni Upadre ndiyo maana hakuna askofu au kadinali ambaye siyo padri, from upadre unaweza kuwa askofu, cadinali au hata pope. Kwa kazi na majukumu ya kadinali hakuna haja ya kuwa nao wengi kila jimbo ndiyo maana almost kila nchi ina kadinali moja. Utaratibu wa kumchagua pope kufanywa na kadinali tu inatokana na ukweli kwamba pope mara nyingi huwa miongoni mwa makadinali hao na hao wanaofanya uchaguzi wanatakuwa wanamfahamu vzr maana wanakutana kwenye vikao vyao. sasa padri au askofu atamchaguaje mtu ambaye hayuko familiar naye? umpeleke paroko wa Manzese akamchague pope wakati huenda hata hajawahi kuwaona wala kuwasikia hao wanaotakiwa kupigiwa kura?. Idadi ya makadinali kuwa wachache siyo issue maana dunia pia ina nchi chache na baadhi ya hizo nchi hazina ukatoliki kabisa sasa utamchagua shehe awe kardinali?. Nafasi ya kadinali ni moja kwa kila nchi sasa kila padri akiwa kadinali unadhani itakuwa rahisi, basi itabidi nafasi ya upadri utolewe na watu hao hao waitwe makadinali. Hebu jaribu kureason kidogo kwanini sisi kila waziri asiwe rais au kila mbunge kuwa waziri.
Asante kwa mawazo Mkuu ,umesema almost kila nchi ina Kadrinali ? Unajua Afrika wapo ma kadrinali wangapi mkuu ?
 
Kwanza neno ALMOST siyo ALL, Kuna vigezo wanatumia kuwa na cardinali siyo kila nchi iwe na cardinali. Africa kuna cardinals kama 19 au 20 na kwa taarifa yako SI nchi zote za afrika zina wakatoliki hasa kaskazini na magharibi mwa africa. Kwahiyo idadi kubwa ya makadinali wapo afrika kusini mwa jangwa la sahara.
 
Aisee wewe ulitaka kila jimbo liwe na cardinali mkuu?, kwanza kabisa ningependa ujue daraja muhimu katika kanisa ni Upadre ndiyo maana hakuna askofu au kadinali ambaye siyo padri, from upadre unaweza kuwa askofu, cadinali au hata pope. Kwa kazi na majukumu ya kadinali hakuna haja ya kuwa nao wengi kila jimbo ndiyo maana almost kila nchi ina kadinali moja. Utaratibu wa kumchagua pope kufanywa na kadinali tu inatokana na ukweli kwamba pope mara nyingi huwa miongoni mwa makadinali hao na hao wanaofanya uchaguzi wanatakuwa wanamfahamu vzr maana wanakutana kwenye vikao vyao. sasa padri au askofu atamchaguaje mtu ambaye hayuko familiar naye? umpeleke paroko wa Manzese akamchague pope wakati huenda hata hajawahi kuwaona wala kuwasikia hao wanaotakiwa kupigiwa kura?. Idadi ya makadinali kuwa wachache siyo issue maana dunia pia ina nchi chache na baadhi ya hizo nchi hazina ukatoliki kabisa sasa utamchagua shehe awe kardinali?. Nafasi ya kadinali ni moja kwa kila nchi sasa kila padri akiwa kadinali unadhani itakuwa rahisi, basi itabidi nafasi ya upadri utolewe na watu hao hao waitwe makadinali. Hebu jaribu kureason kidogo kwanini sisi kila waziri asiwe rais au kila mbunge kuwa waziri.
Unataka kusema kila nchi ina papa mmoja,je unajua mfano Marekani ina Makadinali wangapi??
 
Usijidanganye, litaongoza tena dunia na kutawala vizuri kabisa. Ni suala la muda tu....
Alichokisema ni kweli, Roman itatawala dunia tena na kuwaua watu wa Mungu.
Mkuu kama unachukua mawazo yangu kweli nimedanganya,
Kama vip soma afu kausha, mmi mwenyewe ni muRC ila dunia imebadilika sana ndugu yangu

Things are not the same like they used to be.
 
Roman catholic ina agenda za siri ambazo waliomo wa chini (waumini) wahaelewi. Hivi karibuni uchumi wa dunia utaenda kuyumba na Amri kutoka Vatican kupitia kwa marekani watatangaza iwepo siku moja ya kuabudu na siku zingine kazi lazima. Na mataifa yote yatalazimika kukubali kila kitu, ndo maana sahv pope anakutana sana na viongozi wa kidini ili kufanya mapatano. Na kati ya makundi magumu kukubali ni Wa Islam na Waadventista Wasabato.

That's y mataifa ya kiislamu yanapigwa sana ili wakishadhoofishwa na wao kukubali muungano bas Mateso yataanza kwa wacha Mungu.

Ukweli lazima usemwe, ila watakaokubali wachache. Roman has a great influence on world politics, economy, social and other aspects.
 
Kanisa katoliki lina nguvu ya kuongoza dunia, mfano mdogo: Kipindi kile Obama na mwenzi Mwingereza walivyokuwa wamekazania kuutetea ushoga, baba mtakatifu alimuita Obama, wakaa akamuonya kuhusu dhambi ya kuoana watu wa jinsia moja, ndio hapo Obama na wenzie wakapunguza kidogo kasi ya kuuhubiri ushoga.
Umeonywa ktk Mathayo 23:9, msimwite mtu yeyote baba duniani.
Kama hao mapapa ni baba watakatifu, wanawezaje kupingana na Mungu eti anabadilisha Amri kumi za Mungu,, Can't u think great?
 
Hakuna kitu kizuri chochote juu ya kanisa katoliki utakachokisikia kutoka marekani.
Marekani INA siri zake nyingi sana, mambo mengine tushaanza kuyaona, ushoga, utoaji wa mimba, ndoa za jinsia moja. Haya yote yanapingwa na kanisa, marekani inachofanya ni kulichafua kanisa kuhusu mambo yasiyo ya msingi ili waweze kuweka mambo yao ya kipuuzi.
Hii leo watu wanaamini kuwa uislam ni ugaidi, nani ametufanya tuelewe hivyo kama sio propaganda chafu za marekani? Anafanya watu wafikiri kuwa hahusiki na hilo wakati ndio mpango wake wa kuitawala dunia.
Saivi imefika mahali mmarekani akisema kitu tunajua ni cha ukweli.
Okay ngoja tusubiri dunia kuwa Giza kuanzia Nov 16 maana NASA wamethibitisha.
Roman na Marekani ni different sides of the same coin.
 
Back
Top Bottom