comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Mbukwenyi. Jf
Wajuvi wa mambo wanijuze maana ninavyojua mimi kanisa katoliki duniani lina serikali yake katika mji wa Vatican nchini italia, na lina kiongozi wake mwenye wadhifa wa urais au zaidi kutokana na kuongoza watu kutoka nchi tofauti duniani kitu ambacho sio rahisi kwa rais, lakini kwa lugha ya kikatoliki kiongozi huyo anaitwa Papa (pope) swali langu je nini nguvu ya kanisa hilo kwa tawala na usalama wa dunia? je mfumo upi wa serikali yake? wakuu nisaidieni
Wajuvi wa mambo wanijuze maana ninavyojua mimi kanisa katoliki duniani lina serikali yake katika mji wa Vatican nchini italia, na lina kiongozi wake mwenye wadhifa wa urais au zaidi kutokana na kuongoza watu kutoka nchi tofauti duniani kitu ambacho sio rahisi kwa rais, lakini kwa lugha ya kikatoliki kiongozi huyo anaitwa Papa (pope) swali langu je nini nguvu ya kanisa hilo kwa tawala na usalama wa dunia? je mfumo upi wa serikali yake? wakuu nisaidieni