mojawapo ni punyeto za mara kwa mara.
Nawasilisha
Wakati unafanya mapenzi usiweke mawazo yako yote kwenye mchezo kufanya hivyo utapiga bao haraka, Fanya kuangalia TV au kusikiliza radio wakati wa mapenzi itasaidia kupunguza kasi ya kupiga bao haraka. Au unaweza ukawa wakati una-do mfikirie mtu unayemchukia kuliko wote duniani, mtu ambaye ambaye unaona ni mbaya wako katika maisha yako, kama ni mwalimu shuleni, au kiongozi fulani, hata mzee mzima kama una hasira naye sana basi we mfikirie wakati huo itakusaidia sana kuchelewa kupiga bao na hivyo kumfurahisha mwenza wako vizuri,
.... Pia fikiria ukienda kupima ngoma afu majibu yakiwa Positive itakuwaje...
Utachelewa tu kumaliza mkuu,na pengine kitu kinaweza kikanywea ghafla,na ukaanza upya mtanange!
Duuh ushauri mwingne kama nguvu zagiza vle, bt jitahd mazoezi kwa sana, na pia mazoezi ya kegel
Value inaua kabisa nguvu zako usijidanganye.
Hii njia sishauri, mi nimeitumia hapa juzi juzi tu. Tatizo lake ni kwamba hupigi bao kabisa, mshedede unasimama wima tu hata 2 hours. Utamchosha tu mwenzio maana hutapiga bao.
Mimi tataizo nataka nichelewe kupiga bao,wakati nikifanya mapenzi...cpendi kuwai kama unavyo jua bao la kwanza linawai kutoka nifanyaje?ili nichelewe?
Inaonyesha una matatizo ya Upungufu wa nguvu za kiume Dawa yake bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawaza-nguvu-za-kiume-kwa-anaye-taka.htmlMimi tataizo nataka nichelewe kupiga bao,wakati nikifanya mapenzi...cpendi kuwai kama unavyo jua bao la kwanza linawai kutoka nifanyaje?ili nichelewe?
Ukikaribia kupiga bao kumbuka matukio mabaya yaliwahi kukutokea. Mfano..kumbuka jinsi ulivyokoswa koswa kuliwa kiboga na majambazi etc utaona bao linarudi lenyewe halafu unaanzan upya!
Ushauri wako unafanana na macho yako kwenye hiyo picha mkuuUkikaribia kupiga bao kumbuka matukio mabaya yaliwahi kukutokea. Mfano..kumbuka jinsi ulivyokoswa koswa kuliwa kiboga na majambazi etc utaona bao linarudi lenyewe halafu unaanzan upya!
ukikaribia kupiga bao kumbuka matukio mabaya yaliwahi kukutokea. Mfano..kumbuka jinsi ulivyokoswa koswa kuliwa kiboga na majambazi etc utaona bao linarudi lenyewe halafu unaanzan upya!