Kwakweli Nape umetutia aibu vijana, naamini unaimani Mungu yupo katubu upate kusamehewa lasivyo dhambi hii itakutafuna na familia yako yote.
Nape siku hizi umekuwaje ndugu yangu? kuna kipindi nilikuwa nakuona shujaa balaa!
hasa kipindi kile Lowasa alipoingiza ufisadi kwenye lile jengo la vijana pale Lumumba!
sasa hivi umekuwa mtu wa ajabu sana!
mwishowao unakaribia ccm is no more
Usiweke siasa kwenye maisha ya watu, Unakanusha kuwa waliowavamia wabunge wa CHADEMA na kuwakata mapanga si wafuasi na mpango wa CCM ulikuwepo? kwa taarifa yako wahusika wamekimbia na familia zao na wametelekeza nyumba zao.acha kulea maovu, unakumbuka kesi ya bihodo wewe? muogope Mungu na domaana anakiadhibu chama na wote waovu CCM.
Usiweke siasa kwenye maisha ya watu, Unakanusha kuwa waliowavamia wabunge wa CHADEMA na kuwakata mapanga si wafuasi na mpango wa CCM ulikuwepo? kwa taarifa yako wahusika wamekimbia na familia zao na wametelekeza nyumba zao.acha kulea maovu, unakumbuka kesi ya bihodo wewe? muogope Mungu na domaana anakiadhibu chama na wote waovu CCM.
...Huu uzushi sasa....
...Alichosema Nape ni kuwa CCM haijahusika na mpango wowote wakuwashambulia wabunge hao, kwani hiyo haijawahi kuwa jadi ya chama chake, haitakuwa sasa na haiwezi ikawa in the future, akaongeza kuwa Waharifu waliowashambulia Wabunge hao wanaweza wakawa ni wanachama wa chama chochote, CCM ikiwemo; na kisha kulitaka jeshi la polisi liwasake, liwakamate na kisha hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi yao bila kujali ni wanachama wa chama gani...
...Kisha akamalizia kwa kuwatakia wabunge hao pole na kuwatakia wapone mapema ili waendelee na shughuli zao za kawaida, hivi kuna tatizo gani kwa kauli yake hii? kaazi kwelikweli...
Nape siku hizi umekuwaje ndugu yangu? kuna kipindi nilikuwa nakuona shujaa balaa!
hasa kipindi kile Lowasa alipoingiza ufisadi kwenye lile jengo la vijana pale Lumumba!
sasa hivi umekuwa mtu wa ajabu sana!