PRISCUS JR
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 448
- 236
Usiweke siasa kwenye maisha ya watu, Unakanusha kuwa waliowavamia wabunge wa CHADEMA na kuwakata mapanga si wafuasi na mpango wa CCM ulikuwepo? kwa taarifa yako wahusika wamekimbia na familia zao na wametelekeza nyumba zao.acha kulea maovu, unakumbuka kesi ya bihodo wewe? muogope Mungu na domaana anakiadhibu chama na wote waovu CCM.