Nataka mwanangu akasome pale st. Matthew school nipeni ushauri

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,704
5,480
Nipo katika harakati za kutafuta shule kwa ajili ya kijana wangu anategemea kuanza darasa la kwanza hapo mwakani.

Moja kati shule nilizozipendekeza ni hii st. Matthew.

Nipeni muongozo. Kuna uzi nimeuona humu kuna mdau analalana walimu mutolipwa stahiki zao kwa wakati. Nataka kujua kitalaama ipoje. Karibuni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom