Matukio mbalimbali yanayotokea kwenye siasa kama ya kufanyiana faulu mbalimbali yananitisha kuwa kwenye siasa ambapo ndio sehemu ya kuweza kuikomboa nchi hii.Je kuna namna nyingine ya kuwe kwenye uongozi bila kupitia siasa?Maana kwenye uharakati nako kuna tatizo la kukabiliana na watawala, kwenye vyama vya siasa kuna ufisadi na asiyetaka ufisadi huujumiwa.Sasa ipi njia sahihi ya kupitia na kuwa kiongozi bila bughudha?