Desteo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 494
- 123
Niliingia mkataba na taasisi fulani kwa kazi fulani ya fasihi miaka kama mi 4 hivi imepita. Sijawahi kufaidika na mkataba huo asilani. Sasa nataka kuitumia kazi yangu hiyo kwa ishu zingine ila mkataba ule umenibana. Ni mchakato gani nitafuata ili niweze kuvunja huu mkataba na kuachana na hawa watu?