Wewe sio mmoja wao??ngoja waje waliowahi kufumaniwa wakupe mistari.
duuh we nomaa! Sasa hapa nitatumia sauti ya ngapi,au ndo zile za kubana pua....nakuzimiaaa,kilaaa ni kikuangaliaaa,moyonii mi naumia,mamamiaaa nimeshindwa kuvumiliaa,napendaa unavyo niangaliaaa na macho yako ya kusiziaaa,unavyo tembeaa makalio unavyo tingishiaaa,daaaah!!salalaaa na kuzimiaaaa,kuaziaa nywelee hadi figaaa wacha tu nikufagilie....[ntarudiiiiiiiiiiiiiiiiiiii]
kudadadekii jf hata watunzi mpo!,hapa bdo chorus tu.yoyoyoyo..aah..nakuzia nina nia,
mchana ninalia,
usiku naumia,
nataka we wangu kukuoa na nia,
ooh baby gal acha kunibania,
rafikizo wameolewa suzy hadi sonia,
sina pakupandia wala pakushushia,
njoo ule vanila mabaga sio bamia,
mapenzi moto moto kama mzee wa mia,
njoo ule halua,
njoo unipelo tunda nilile kwa kumung'unya,
kwenye beat nakaza,
sitaki tena kumia,
na kwa hizi lyrics lazima utanipa mia.
full hip hop nyeusiiii ka gizaaaaaaaaaaaaaduuh we nomaa! Sasa hapa nitatumia sauti ya ngapi,au ndo zile za kubana pua
yoyoyoyo..aah..nakuzia nina nia,
mchana ninalia,
usiku naumia,
nataka we wangu kukuoa na nia,
ooh baby gal acha kunibania,
rafikizo wameolewa suzy hadi sonia,
sina pakupandia wala pakushushia,
njoo ule vanila mabaga sio bamia,
mapenzi moto moto kama mzee wa mia,
njoo ule halua,
njoo unipelo tunda nilile kwa kumung'unya,
kwenye beat nakaza,
sitaki tena kumia,
na kwa hizi lyrics lazima utanipa mia.
Yoyoyoo! Nakuzimia kushinda hata 100,
moyon naumia lkn machon nafurahia!
Karekodi sasa!
....nakuzimiaaa,kilaaa ni kikuangaliaaa,moyonii mi naumia,mamamiaaa nimeshindwa kuvumiliaa,napendaa unavyo niangaliaaa na macho yako ya kusiziaaa,unavyo tembeaa makalio unavyo tingishiaaa,daaaah!!salalaaa na kuzimiaaaa,kuaziaa nywelee hadi figaaa wacha tu nikufagilie....[ntarudiiiiiiiiiiiiiiiiiiii]
yooh yooh yooh ahh nimesahau ivi rudiaa
wasanii wa kibongo ndio reflection toka kwenu...upuuzi mtupu.....ndio maana siku hizi hamna jipya kwenye tungo za wasanii.....nakuzimia, a ah nakutania. Kwanza nakuchukia ndo mana nakuchunia. Wewe una mkia, halafu unaning'ang'ania
hee hao warembo nao ni wataje? Sasa unataka nitengeneze bifu na naniliuu?Ah yeah huwezi amini nikwambia,naongea kwa utani lakini moyo unajua, ya kuwa we ndo wangu wa ndani, sipagawi na husninyo na jane,ingawa some tym wananichanganya akili ila we ndo nakuzimia umeniskia? Oh yeah mbona beat siisikii au umepagawa na mistari yangu inavyoku heal ka masii..