Nataka kutoa single...Nipeni mistari!

Vodka

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
906
96
Haya leo nimeamka na hang-over za kutoa single,nipata jina la single "nina kuzimia" kwani wasanii wengi wanatokea kwenye mapenzi sasa sijui nianzeje,hebu nisaidieni mistari waungwana.
 
Yoyoyoo! Nakuzimia kushinda hata 100,
moyon naumia lkn machon nafurahia!
Karekodi sasa!
 
....nakuzimiaaa,kilaaa ni kikuangaliaaa,moyonii mi naumia,mamamiaaa nimeshindwa kuvumiliaa,napendaa unavyo niangaliaaa na macho yako ya kusiziaaa,unavyo tembeaa makalio unavyo tingishiaaa,daaaah!!salalaaa na kuzimiaaaa,kuaziaa nywelee hadi figaaa wacha tu nikufagilie....[ntarudiiiiiiiiiiiiiiiiiiii]
 
yoyoyoyo..aah..nakuzia nina nia,
mchana ninalia,
usiku naumia,
nataka we wangu kukuoa na nia,
ooh baby gal acha kunibania,
rafikizo wameolewa suzy hadi sonia,
sina pakupandia wala pakushushia,
njoo ule vanila mabaga sio bamia,
mapenzi moto moto kama mzee wa mia,
njoo ule halua,
njoo unipelo tunda nilile kwa kumung'unya,
kwenye beat nakaza,
sitaki tena kumia,
na kwa hizi lyrics lazima utanipa mia.
 
....nakuzimiaaa,kilaaa ni kikuangaliaaa,moyonii mi naumia,mamamiaaa nimeshindwa kuvumiliaa,napendaa unavyo niangaliaaa na macho yako ya kusiziaaa,unavyo tembeaa makalio unavyo tingishiaaa,daaaah!!salalaaa na kuzimiaaaa,kuaziaa nywelee hadi figaaa wacha tu nikufagilie....[ntarudiiiiiiiiiiiiiiiiiiii]
duuh we nomaa! Sasa hapa nitatumia sauti ya ngapi,au ndo zile za kubana pua
 
yoyoyoyo..aah..nakuzia nina nia,
mchana ninalia,
usiku naumia,
nataka we wangu kukuoa na nia,
ooh baby gal acha kunibania,
rafikizo wameolewa suzy hadi sonia,
sina pakupandia wala pakushushia,
njoo ule vanila mabaga sio bamia,
mapenzi moto moto kama mzee wa mia,
njoo ule halua,
njoo unipelo tunda nilile kwa kumung'unya,
kwenye beat nakaza,
sitaki tena kumia,
na kwa hizi lyrics lazima utanipa mia.
kudadadekii jf hata watunzi mpo!,hapa bdo chorus tu.
 
Ah yeah huwezi amini nikwambia,naongea kwa utani lakini moyo unajua, ya kuwa we ndo wangu wa ndani, sipagawi na husninyo na jane,ingawa some tym wananichanganya akili ila we ndo nakuzimia umeniskia? Oh yeah mbona beat siisikii au umepagawa na mistari yangu inavyoku heal ka masii..
 
yoyoyoyo..aah..nakuzia nina nia,
mchana ninalia,
usiku naumia,
nataka we wangu kukuoa na nia,
ooh baby gal acha kunibania,
rafikizo wameolewa suzy hadi sonia,
sina pakupandia wala pakushushia,
njoo ule vanila mabaga sio bamia,
mapenzi moto moto kama mzee wa mia,
njoo ule halua,
njoo unipelo tunda nilile kwa kumung'unya,
kwenye beat nakaza,
sitaki tena kumia,
na kwa hizi lyrics lazima utanipa mia.

Yoyoyoo! Nakuzimia kushinda hata 100,
moyon naumia lkn machon nafurahia!
Karekodi sasa!


....nakuzimiaaa,kilaaa ni kikuangaliaaa,moyonii mi naumia,mamamiaaa nimeshindwa kuvumiliaa,napendaa unavyo niangaliaaa na macho yako ya kusiziaaa,unavyo tembeaa makalio unavyo tingishiaaa,daaaah!!salalaaa na kuzimiaaaa,kuaziaa nywelee hadi figaaa wacha tu nikufagilie....[ntarudiiiiiiiiiiiiiiiiiiii]


yooh yooh yooh ahh nimesahau ivi rudiaa

nakuzimia, a ah nakutania. Kwanza nakuchukia ndo mana nakuchunia. Wewe una mkia, halafu unaning'ang'ania
wasanii wa kibongo ndio reflection toka kwenu...upuuzi mtupu.....ndio maana siku hizi hamna jipya kwenye tungo za wasanii.....
 
Ah yeah huwezi amini nikwambia,naongea kwa utani lakini moyo unajua, ya kuwa we ndo wangu wa ndani, sipagawi na husninyo na jane,ingawa some tym wananichanganya akili ila we ndo nakuzimia umeniskia? Oh yeah mbona beat siisikii au umepagawa na mistari yangu inavyoku heal ka masii..
hee hao warembo nao ni wataje? Sasa unataka nitengeneze bifu na naniliuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom