mi nampongeza flora msoffe kwa kujifungua mtoto wa kike salama, katuongezea kamanda mpya
ka-judgement kakowapi kwanza?
Hii like ninamuombea Husninyo, kama huna wivu....Smiling Saint
.....kwa sababu kule kwa taarifa ya kujifungua Flora amepost kitu nzuri sana honey tutatengeneza lini wa kwetu? (akimuuliza Judgement).Mmh jamani, sijui niandike nini nipate hiyo like.... Dah! Mi naomba bure.
Hii like ninamuombea Husninyo, kama huna wivu....
.....kwa sababu kule kwa taarifa ya kujifungua Flora amepost kitu nzuri sana honey tutatengeneza lini wa kwetu? (akimuuliza Judgement).
ah ha ha aahah nyimbo za watoto..... jamani hii like nitampa nani?
hiyo huipati japo sijajua bado iko wapi??