nataka kutoa Like maalum

Jamani Smiling Saint....huwezi ukanipa japo nafasi ya upendeleo dear?? Kipipi won't let you stop smiling......this I promise you!!!


MH!!! teh teh teh teh hebu chombeza tena...... ila hapa nikitoa watasema mi mdhaifu....... nitakupa lakini sio ya 101
 
MH!!! teh teh teh teh hebu chombeza tena...... ila hapa nikitoa watasema mi mdhaifu....... nitakupa lakini sio ya 101

Smiling dear, wajua kabisa ni kiasi gani naihitaji hiyo like....! But, usijaali saana mpendwa wangu......naelewa kuwa wewe ni binadamu mwenye fikra na wahitaji muda wa kutosha ili uweze kufanya chaguo lako kwa umakini. Najali saaana maamuzi yako, nami nakuachia muda walau upate wasaa wakufanya maamuzi mazuuuri yatakayoridhisha nafsi yako mpendwa.....lakini nakuomba, nakuomba japo usinitupe tafadhali!!!!
 
Smiling chipenzi......unajisikiaje kunivunja moyo mwenzio?

Smiling dear, wajua kabisa ni kiasi gani naihitaji hiyo like....! But, usijaali saana mpendwa wangu......naelewa kuwa wewe ni binadamu mwenye fikra na wahitaji muda wa kutosha ili uweze kufanya chaguo lako kwa umakini. Najali saaana maamuzi yako, nami nakuachia muda walau upate wasaa wakufanya maamuzi mazuuuri yatakayoridhisha nafsi yako mpendwa.....lakini nakuomba, nakuomba japo usinitupe tafadhali!!!!


nataka nijue kwanza kama hizi ni za msimu tu au la?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom