Mdigokhan
JF-Expert Member
- May 2, 2022
- 843
- 1,923
Khabari zenu ndugu zangu.
Naomba mnipe mawazo katika Hili.
Mimi ni kijana miaka 28 hivi, kipato changu sh 30k kwa siku but nikifanya matumizi yangu katika familia Yaweza baki 10 au 15 inategemea na siku.
Nataka kununua kiwanja nina mawazo na kiwanja huu ni mwaka sasa kinanitia mawazo. Nawaza kuweka hela mpaka ifike million 2 au 3 Dah Nashindwa,sina mshahara ni kipato cha siku tu.
Je, Mmewezaje wezaje kumiliki viwanja na kujenga?
Naombeni mbinu,nawaza sana kiwanja.
Niliwahi jaribu kuweka mpk laki 9 ila ikapatapata majanga weeeee sijaiona hata ilivoisha isha.
Kwanza ni kiwanja mawazo ya kujenga ni baada ya kiwanja.
Nipeni mawazo, nifungueni akili labda nimelala msinikejeri..
Naomba mnipe mawazo katika Hili.
Mimi ni kijana miaka 28 hivi, kipato changu sh 30k kwa siku but nikifanya matumizi yangu katika familia Yaweza baki 10 au 15 inategemea na siku.
Nataka kununua kiwanja nina mawazo na kiwanja huu ni mwaka sasa kinanitia mawazo. Nawaza kuweka hela mpaka ifike million 2 au 3 Dah Nashindwa,sina mshahara ni kipato cha siku tu.
Je, Mmewezaje wezaje kumiliki viwanja na kujenga?
Naombeni mbinu,nawaza sana kiwanja.
Niliwahi jaribu kuweka mpk laki 9 ila ikapatapata majanga weeeee sijaiona hata ilivoisha isha.
Kwanza ni kiwanja mawazo ya kujenga ni baada ya kiwanja.
Nipeni mawazo, nifungueni akili labda nimelala msinikejeri..