BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,020
Lakini ukiangalia unaweza kweli kudunda BAK ila sasa si inategemea ulizaliwa mwaka gani pia. Bibi yangu is almost 100 of not 100 already maana si unajua tena wazee wa zamani kuhifadhi kumbukumbu ilikuwa anasa na bado she is going strong ingawa magonjwa ya uzee yanamuandama kwa sasa. Hebu tuanze kufuatilia lishe ya Mzizi tuongeze siku za kuishi........
....Neno hilo JS miye kuna jamii ya nuts nilikuwa sijawahi kuzigusa hata siku moja lakini baada ya Mkuu MziziMkavu kuzifagilia sana hapa jamvini siku hizi hazikosi nyumbani kwangu....na asali kama kazi tena asali mbichi nimeachana na jam siku hizi