Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
...MziziMkavu labda usubiri barabara za flyover kama zilivyoahidiwa na msanii....inasemekana zitakuwa tayari mwaka 2095
@BAK Hizo barabara ziwe teyari mwaka 2095 tutakuwa tumesha kufa?...MziziMkavu labda usubiri barabara za flyover kama zilivyoahidiwa na msanii....inasemekana zitakuwa tayari mwaka 2095
@Lily Flower ina maana hakuna barabara nzuri Tanzania ? Tanzania hakuna viongozi bali ni ufisadi tu kasheshe kweli bongo yetu.Kweli Mkuu maana barabara hizi tulizozizoea ataishia kupaki hayo magari nyumbani tu.
BAK Hizo barabara ziwe teyari mwaka 2095 tutakuwa tumesha kufa?
Lily Flower ina maana hakuna barabara nzuri Tanzania ? Tanzania hakuna viongozi bali ni ufisadi tu kasheshe kweli bongo yetu.
@Mtei One hata kama nikiyaleta yatapita wapi? Porini? kuna barabara ya kupita haya magari yenye matairi makubwa hapo kwetu Tanzania?Ingekuwa ni Porsche au Bugati ningekwambia uclete. hayo yalete 2yapeleke shamba yakabebe majani ya ng'ombe.
@BAK Hizo barabara ziwe teyari mwaka 2095 tutakuwa tumesha kufa?
...Tukilamba asali, kutafuna tangawizi, mdalasini, hiliki, vitunguu saumu, kula matango kwa wingi n.k. kama tunavyoshauriwa na MziziMkavu basi 2095 tutakuwa bado tunadunda tu!
@BAK Tupate na Viongozi wenye kutupa Raha za maisha sio Viongozi wanaopenda Ufisadi na kuiba mali za Wanyonge walala hoi. We have to Change our leadership, yes We Can....Tukilamba asali, kutafuna tangawizi, mdalasini, hiliki, vitunguu saumu, kula matango kwa wingi n.k. kama tunavyoshauriwa na MziziMkavu basi 2095 tutakuwa bado tunadunda tu!
Hahahahahah lol! JS unadhani hata ukila vyakula hivyo hapo juu kama tunavyoshauriwa na MziziMkavu huwezi kweli ukawa bado unadunda?