Visenti
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 1,025
- 327
Naamini kuna wanaJF walioko Mozambique katika majimbo/maeneo ya PEMBA, CABO DELGADO na NAMPULA, kuna jamaa yangu Mtanzania anataka kuhamia na kuanza maisha huko ktk sehemu nilizozitaja, kwa kupiga box au biashara yoyote, kama kuna wana JF huko au yeyote anayeyajua maeneo hayo, naomba mnipe mwongozo jinsi jamaa atakavyoweza kuhamia na ku-settle huko, mfn requirement muhimu zinazohitajika n.k, nitashukuru kwa mwongozo nitakaoupata.