Nataka kuhama VODACOM niende mtandao upi ?

Rutunga M

JF-Expert Member
Mar 16, 2009
1,769
1,382
Wapendwa,nimechoshwa na karaha za mtandao wa vodacom ambao nimeutumia tangu mwaka 2000 .

nimekuwa nikipata adha kubwa hasa kama nataka kuwasiliana na wateja wangu walioko nje ya nchi ambao muda mzuri wa kwao wa kuwapata hapa kwetu inakuwa ni kuanzia saa 4:00 hadi saa 8:00 usiku na wakati huu huwezi kupata line ,kisa eti ni huduma za cheka time ambazo ninasababisha mtandao kujam na kutufanya sisi tusiojiunga na cheka time yao kukosa huduma.

kwa siku natumia kati ya sh 20,000 hadi 30,000 kwa kuongea na simu hivyo najiona kama ni mmoja wa wateja wakubwa wa Vodacom,sasa nataka kuwahama niiende mtandao upi ?
 
Ulivyojiunga na Vodacom ulituomba ushauri? hebu acha kutumia jukwaa kufanya marketing bila kulipia. SHAME ON YOU.
 
Nenda kwenye mtandao ambao hauna promotion za usiku peke yake


Tatzo la makapuni ya simu tanzania ni kushindana katika promotion badala ya huduma,unapoona vodacom wana hiyo promotion usiku,muda si muda utaona wengine wameiga.

ninachotaka hapa ni mtandao wenye huduma bora ambao hunaweza kuutumia hata kama wana promotion,lakini hawa voda onaonekana wana block net ili kupunguza kasi ya watumiaji ,kumbe kwa kufanya hivyo wanaharibia wengine
 
nakushauri uwe na line za mitandao yote walau mitatu. usifikiri watu wanakuwa na line za mitandao 2 na kuendelea kwa ufahari lah ni kwa sababu ya adha kama zilizokupata wewe. lakin kama umedhamiria hasa kuhama vodacom nakushauri uende zain.
 
Wapendwa,nimechoshwa na karaha za mtandao wa vodacom ambao nimeutumia tangu mwaka 2000 .

nimekuwa nikipata adha kubwa hasa kama nataka kuwasiliana na wateja wangu walioko nje ya nchi ambao muda mzuri wa kwao wa kuwapata hapa kwetu inakuwa ni kuanzia saa 4:00 hadi saa 8:00 usiku na wakati huu huwezi kupata line ,kisa eti ni huduma za cheka time ambazo ninasababisha mtandao kujam na kutufanya sisi tusiojiunga na cheka time yao kukosa huduma.

kwa siku natumia kati ya sh 20,000 hadi 30,000 kwa kuongea na simu hivyo najiona kama ni mmoja wa wateja wakubwa wa Vodacom,sasa nataka kuwahama niiende mtandao upi ?
Ngoja nikunong'oneze,
Usihame hawa jamaa wameshusha gharama za kupiga simu. Sasa ni kama TIGO yaani 1Tsh per second
 
Wapendwa,nimechoshwa na karaha za mtandao wa vodacom ambao nimeutumia tangu mwaka 2000 .

nimekuwa nikipata adha kubwa hasa kama nataka kuwasiliana na wateja wangu walioko nje ya nchi ambao muda mzuri wa kwao wa kuwapata hapa kwetu inakuwa ni kuanzia saa 4:00 hadi saa 8:00 usiku na wakati huu huwezi kupata line ,kisa eti ni huduma za cheka time ambazo ninasababisha mtandao kujam na kutufanya sisi tusiojiunga na cheka time yao kukosa huduma.

kwa siku natumia kati ya sh 20,000 hadi 30,000 kwa kuongea na simu hivyo najiona kama ni mmoja wa wateja wakubwa wa Vodacom,sasa nataka kuwahama niiende mtandao upi ?

pole sana na adha za voda,lakini gharama za simu bongo ni ghali!!je kwa mwezi unatumia kiasi gani? tsh 1million?
hivi hamna deals kwenye mitandao ya bongo eg tsh50k a month then u get like 1000mins talk time and 1000txts??

FREE

from £30 a month plus £5 BlackBerry email Booster



T-Mobile’s first full touchscreen BlackBerry has it all, for business and pleasure. From 10 email accounts to instant messaging, from 3G internet to iTunes sync, from WiFi to a 3.2 megapixel camera. Get it on the best smartphone network now.
Read more Full touchscreen functionality with SurePress™ makes emailing and texting easy on the BlackBerry® Storm2™. Use BlackBerry Messenger for instant messaging and picture-sharing, and BlackBerry Maps to navigate. You can have up to 10 email accounts and download and edit attachments. Superfast 3G internet makes all this possible. WiFi is built in, along with Bluetooth and a speakerphone. For music on the move sync it with your iTunes or plug into the MP3 player. The 3.2 megapixel camera has autofocus and image stabilisation for crystal clear shots. And the icing on the cake? Long battery life. Phew.

Key features






Select phone and choose plan






lowest_price_plan.jpg
You payYou getPhone costPlan lengthYour phone £30.00 600 minutes
500 texts
Flexible Booster
Unlimited* Internet Unlimited* BlackBerry email FREE24 monthsBlackBerry Storm2 (9520)
 
Kha mimi nakushauri angalia kuwa na laini zote TTCL,Zain,Zantel,sasatel,voda, Tigo na takataka zote nchi hii ina dhiki kama jaruba la mpunga kilombero(manake magugu hujazana) utasiki ohh tunaupgredi.Lakini mimi nazimia Tigo .naongea Cuba kama nalia vile kisha nikicheki balance bomba kinoma siku nilijaribu Voda mbona cheche Zain usiseme ni balaa kwa kwenda mbele hii kampuni jina tamu strategy hovyoooooooo la maana kwenu laini gani ipo.Leo 23 ya Machi Voda wametangaza kwenda shilingi kwa sekunde mhh Tigo anawapelekapelaka kinoma
 
Hii ni misuse ya jukwaa sasa jamani, mtu unauliza mtandao wa kwenda kwenye thread kweli jamani are we serious?
 
simple - nenda tigo mtandao wa students... kama tatizo lako ni pesa.
 
Sikio lako la kulia likikukwaza basi liondoe, ni ushauri wangu mzee, usiwe na mtandao wowote!
 
Back
Top Bottom