Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
Im thinking deeply of moving to abroad.....i,m sick and tired of a lot of BS in TZ
..NIMECHOKA
.
Kuna mambo ambayo hayawezi kubadilika kwa miaka mingi mpaka wazeee wenye roho mbaya kama Makamba,JK na wenzake wafe,vizazi vyao akina Riz1 wafe na Pia akili za watz wengi mpaka zibadilike ..
nao ndio kidoogo tz kutaanza kuwa sehemu bora kuishi .haiwezekani mimi nilale giza,nipate dawa zilizo expire,nipite kwenye barabara mbaya,huduma kila sehemu mboovu siwezi kutaja yoote .so
Where would I start?
Kuna mambo ambayo hayawezi kubadilika kwa miaka mingi mpaka wazeee wenye roho mbaya kama Makamba,JK na wenzake wafe,vizazi vyao akina Riz1 wafe na Pia akili za watz wengi mpaka zibadilike ..
nao ndio kidoogo tz kutaanza kuwa sehemu bora kuishi .haiwezekani mimi nilale giza,nipate dawa zilizo expire,nipite kwenye barabara mbaya,huduma kila sehemu mboovu siwezi kutaja yoote .so
Where would I start?