Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,350
- 4,485
Nchi imepoteza mtu na nusu kisa fitina za wadauNilikuwa sijui aisee....
Basi Jamaa yupo vzr sana.
Nchi imepoteza mtu na nusu kisa fitina za wadauNilikuwa sijui aisee....
Basi Jamaa yupo vzr sana.
Nchi imepoteza mtu na nusu kisa fitina za wadau
Yes.Mika Mwamba ni Mzungu?
Nilikuwa sijuiYes.
Huyo hapo Mika mwambaNilikuwa sijui
Yupo vzr..Huyo hapo Mika mwamba View attachment 2822905
Yes ni mzungu. Muone hapa kwa Millard Ayo, alishwahi kuhojiana naye. Mamba sio jina lake, yeye anaitwa ni Miika Karri kutoka nchini Finland. Anaongea Kiswahili cha kunyooka tu.Mika Mwamba ni Mzungu?
Alikuwa mtu mmoja mkimya sana asiyependa mbwembwe.Nilikuwa sijui
Na huyooo anayeitkia ni Dada yake anaitwa FatmaHuwezi amini leo nlikuwa nautafuta huu wimbo wa hardmad na nimeudownload humu humu.. wimbo unanikumbusha mbali sana.. jamani mika daaah..