Mkuu kuna software inaitwa Vision8 for sales and inventory management, imetengenezwa na kampuni (Exact software Limited) ya wazungu waliopo nchini Tanzania, hiyo itakusaidia kwa kila kitu kwani they are developers of their software in case kama utahitaji any customization. Waweza watafuta kupitia google au nichek pm nikupe mawasiliano yao, binafsi naitumia software yao kwenye sales records zanguHabari wakuu
Nina SHIDAH NA sales software AMBAYO naweza register products , tengeneza quote , delivery note. NA invoice
Naombeni msaada
Mkuu kuna software inaitwa Vision8 for sales and inventory management, imetengenezwa na kampuni (Exact software Limited) ya wazungu waliopo nchini Tanzania, hiyo itakusaidia kwa kila kitu kwani they are developers of their software in case kama utahitaji any customization. Waweza watafuta kupitia google au nichek pm nikupe mawasiliano yao, binafsi naitumia software yao kwenye sales records zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
eneo moja tuje biashara yako itahusisha eneo zaidi ya moja, na sehemu zote zitahitaji kuunganishwa katika mfumo mmoja? au ni eneo moja tuu la biashara
njoo mwanangu inbox tuongeeMkuu kuna software inaitwa Vision8 for sales and inventory management, imetengenezwa na kampuni (Exact software Limited) ya wazungu waliopo nchini Tanzania, hiyo itakusaidia kwa kila kitu kwani they are developers of their software in case kama utahitaji any customization. Waweza watafuta kupitia google au nichek pm nikupe mawasiliano yao, binafsi naitumia software yao kwenye sales records zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaji sh. Ngapi? Au mauzo ya siku ni sh. Ngapi??medium scale kampuni