UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,530
- 7,735
​Nadhani wewe ma jery siyo mfanyabiashara. Wafanya biashara wanajua biashara ni matangazo, lakini wewe hukutuambia sifa zako! Au unadhani wanaume hawana uhuru wa kuangalia sifa na kufanya uchaguzi?