mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.
1 miaka 33-37
2maisha ya kueleweka
3 awe mkristo na awe na hofu ya MUNGU
4awe mrefu kiasi na mweusi
5 awe na afya njema
6awe mtanzania na awe anaishi dsm
7asiwe na mtoto
8 asiwe amewai kuoa/ kuolewa
9awe mkweli,mwenye upendo wa kweli,mstaarabu,
10 asiwe mlevi anywe kidogo ila anywe
11msukuma au mgita atapewa kipaumbele ila wote mnakaribishwa
kama haupo siriaz pls stay away from me
1 miaka 33-37
2maisha ya kueleweka
3 awe mkristo na awe na hofu ya MUNGU
4awe mrefu kiasi na mweusi
5 awe na afya njema
6awe mtanzania na awe anaishi dsm
7asiwe na mtoto
8 asiwe amewai kuoa/ kuolewa
9awe mkweli,mwenye upendo wa kweli,mstaarabu,
10 asiwe mlevi anywe kidogo ila anywe
11msukuma au mgita atapewa kipaumbele ila wote mnakaribishwa
kama haupo siriaz pls stay away from me