natafuta rafiki wa kiume wa ukweli

ma jery

Senior Member
Jun 15, 2011
171
64
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.
1 miaka 33-37
2maisha ya kueleweka
3 awe mkristo na awe na hofu ya MUNGU
4awe mrefu kiasi na mweusi
5 awe na afya njema
6awe mtanzania na awe anaishi dsm
7asiwe na mtoto
8 asiwe amewai kuoa/ kuolewa
9awe mkweli,mwenye upendo wa kweli,mstaarabu,
10 asiwe mlevi anywe kidogo ila anywe
11msukuma au mgita atapewa kipaumbele ila wote mnakaribishwa

kama haupo siriaz pls stay away from me
 
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
hivi ww ni wakarine ya ngapi yaani rafiki tu ndio unakua na udini na ukabira? Au mme?
 
We unatafuta rafiki halafu unabagua kabila maana yake nini? Halaf awe financially stable.....pesa na urafiki/upendo wapi na wapi? Haya kila la heri.
 
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
hivi ww ni wakarine ya ngapi yaani rafiki tu ndio unakua na udini na ukabira? Au mme?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom