natafuta rafiki wa kiume wa ukweli

Tulioko mikoani ndo imekula kwetu siyo;sifa ksribia zote ninazo isipokuwa sipo Dar,tell,do i not qualified to ge you?
 
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
Imekuaje tena dada mpaka utafute rafiki wa karibu kwa njia hii? Ooh its a long story... OK..labda naweza kuku saidia.. details kidogo una mtoto?
 
Ulikuwa wapi kumtafta huyo rafki hadi umezeeka ndo unahangaika,me sifa zote hapo ninazo bt sitaki kuwa rafki yako make ur too much used!
 
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
mmmh ngoja nijiondokeee zangu coz mie sio mhaya...roho inauma coz vigezo vingine vyote nnavyo...any way all the best dadaaa,
 
Unaonekana Mbaguzi, kwa nini umeweka hadi vikwazo kwenye Umri?
 
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
Mi ni Muhaya, lakini pia sikutaki mama Jery kwakuwa una mtoto tayari na umeonyesha kuwa ni mkabila!! Yaani hata urafiki unataka awe finacially stable mhh, huu urafiki au utegemezi? Nahisi unatafuta mtu wa kukusaidia kutunza mwanao wewe, Nimeshtuka nshomile mimi!
 
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.
1 miaka 33-37
2 mkristo
3 awe financial stable
4 mpole kiasi asiwe anachonga sana
5 asiwe muhaya
6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivu
mimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi

Ma jery, Mtu anaweza kuigiza hizo sifa unazotaka (in red) kwa muda mfupi, then baadaye cha moto utakiona.
 
Ma Jery ..ingawa ni vizuri kuwa muwazi..lakini ndugu yangu hiyo CV uliyoweka hapo juu ni rahisi mtu kusoma upeo wako wa kufikiri..na Ku- disqualify ombi lako on the spot....

Kumbuka.. Mapenzi ..hayana utajiri, ukabila, udini, na eneo (mkoa).. Vitu kama huruma, upendo, uvumilivu..unatakiwa wewe ndio uvijenge..unasubiri upate "ready made" unategemea nani atakujengea? labda unase mume wa mtu..
 
Ulikuwa wapi kumtafta huyo rafki hadi umezeeka ndo unahangaika,me sifa zote hapo ninazo bt sitaki kuwa rafki yako make ur too much used!
Even if, acha wenzako watachukua sio lazima uwe wewe. Eti used....are u not used? umejiangalia vizuri wewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom