Ambae atakuja kuwa mumeo na sio rafiki wa kawaida si ndiyo?ni chaguo tu awe na maisha yanayoeleweka mwenzangu
Imekuaje tena dada mpaka utafute rafiki wa karibu kwa njia hii? Ooh its a long story... OK..labda naweza kuku saidia.. details kidogo una mtoto?mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
ok ok ok ok ninazo sifa zote ni PM tuchonge freshini chaguo tu awe na maisha yanayoeleweka mwenzangu
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.
1 miaka 33-37
We mwenyewe ushazeeka,tafuta wazee wenzio 2 mkuu..[/QUOTE]
Ikiwa yeye ana miaka 29 na anatafuta wa 33-37, tatizo liko wapi?
Uwiano wa umri na urafiki/uchumba una kikomo gani?
Au sikufahamu vizuri "comment" yako?
Tehetehetehe... Nadhani sasa thread ifungwe!ok ok ok ok ninazo sifa zote ni PM tuchonge freshi
mmmh ngoja nijiondokeee zangu coz mie sio mhaya...roho inauma coz vigezo vingine vyote nnavyo...any way all the best dadaaa,mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
Mi ni Muhaya, lakini pia sikutaki mama Jery kwakuwa una mtoto tayari na umeonyesha kuwa ni mkabila!! Yaani hata urafiki unataka awe finacially stable mhh, huu urafiki au utegemezi? Nahisi unatafuta mtu wa kukusaidia kutunza mwanao wewe, Nimeshtuka nshomile mimi!mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.
1 miaka 33-37
2 mkristo
3 awe financial stable
4 mpole kiasi asiwe anachonga sana
5 asiwe muhaya
6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivu
mimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
jamani jamani jamani jamani.....mmmh!.....eeeeh!!! Haya....ok ok ok ok ninazo sifa zote ni PM tuchonge freshi
Even if, acha wenzako watachukua sio lazima uwe wewe. Eti used....are u not used? umejiangalia vizuri wewe?Ulikuwa wapi kumtafta huyo rafki hadi umezeeka ndo unahangaika,me sifa zote hapo ninazo bt sitaki kuwa rafki yako make ur too much used!