Why not???Sijapata. kuna watu tatu (possibly nne) wako interested,
kinacho fata ni site visit, waone na waridhike na wanachokiona
Then makubaliano. Wewe uko interested?
aah mkuu Judgment... Please iache ile saga... Maana ishapita...
Let's be friends..
Ngoja nipite tu hapa!!
Pa m o k o , haya endelea kupigapiga story na Shemejio Husny , mie naendelea na ka'tamthilia kangu nakafatilia , midamida nitamfata kumchukua , hizi siku za mvuamvua tunambonjigi mapema .
Sorry, ngoja nirudi nikazitafute zote nikujibu
Ngoja nipite tu hapa!!
Ni 412 pounds kwa mwezi mkuu, due on the 5th of the month (unalipa in advance)Ndevu natoleaga saluni Mwali...
Nielekeze mi natakiwa nikupe pounds ngapi in sum,sitaki assortment,we niambie nachangia sh ngapi,nikupe lump sum,tusisumbuane katikati ya wiki sijui mwezi..
Napenda guitar, star hunting, ridding a bicycle on sunny days,Pia Mwali,
nieleze hobbies zako...
Okay..
Wake wa ndoa wanakua so possessive, wakija home watajifanya wenyeji@ Mwali kwa nini hutaki mwenye aliyeoa? Kama yuko mbali na mkewe je?
Acha nikabebe mabegi yangu, nichukue boxers ngapi?In fact nilikua nakusubiri. Itakua sawa kama unaweza kuhama from popote ulipo
Hapa imagine utaendelea kua BG, deskmate, na pia roommate. Three in one
Mbona masuali mengi au unataka kumpatia kismati yule mdogo wako homeless?@ Mwali kwa nini hutaki mwenye aliyeoa? Kama yuko mbali na mkewe je?
Dah kweli hii misemo yako inaashiria ulinzi mkali...B52 ! Abiria pwani Babaa,
Chale chejja! Mwenda tezi na omo marejeo ngamani .
Mbona masuali mengi au unataka kumpatia kismati yule mdogo wako homeless?